mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Pia, soma
Tanzania kuuza umeme nje ya nchi kuanzia mwakani
Ni kauli ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo alipozungumza jana. Dar es Salaam. Tanzania inakusudia kuanza kuuza umeme nchi za nje kufuatia mapinduzi yanayotazamiwa kufanyika kwenye sekta ya nishati na madini ukiwamo uendelezwaji wa mradi wa uzalishaji umeme katika eneo la...
Maajabu Tanzania: Kutoka kuuza umeme nje ya nchi hadi kununua umeme 'cheap' toka Ethiopia
Kama kawaida yetu Tanzania tumebadili gia angani kwa mara nyingine. Lengo la Serikali yetu tangu 2013 ni kuuza umeme nje ya nchi. Tena tulijipa mwaka tu hadi kutimiza lengo hili. Yaani tuliambiwa na Muhongo kuwa tutakuwa na Megawati 500 za ziada za kuwauzia majirani zetu wenye shida ifikapo...