2013 mlisema tunaanza kuuza umeme nje ya nchi. Je, tumeshafanikisha?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742


Pia, soma


 
Mtwara itakuwa kama ulaya baada ya Gesi kutoka.Wawekezaji wafungue hotel za kitalii,
Mlioko mtwara huko ahadi hizo zimekidhi?
Nimejihifadhi jua kali hapa chini ya mkorosho nimechafuka vumbi kama kicheche
 
Mataga watakuita mpinga maendeleo
Habari.

Kuna watu waliimba na kuhubiri,
Kusujudu na kurukaruka.
Kunywa bia na kuponda bata la kufa mtu kwamba kwa maisha yao yatakuwa bora mno baada ya Magufuli.

Leo ni miezi 8 bila Magufuli lakini kila wakigeuka huku hakuna umeme, wakigeuka hakuna maji ,wakigeuka huku mbolea lakini moja, wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye migodi ,wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye mitaa, wakigeuka huku Mungu wao yuko jela kwa ugaidi.

Leo ndiyo wamejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili yao?
Jinga kabisa na bado mtaendelea kuwa watumwa hivyo hivyo.
Waliowadanganya wamtukane Magufuli wote wamepata mabwana Ulaya wanalishwa bure.

Malipo ni hapa hapa duniani.
 
Chini ya ccm usitarajie jambo lolote lenye mafanikio
 
Bladfakeni
 
Huku tangu asubuhi umeme umekatwa, na hili joto ni nusu jehanam! R. I. P mzee wa chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…