2014 NBA Finals...updates

One up!

Heat couldn't handle the 'heat'
Teh teh teh!
 
Pamoja na mengine yote....hii gemu jamaa asingeumia......Miami walikuwa wanashinda hii gemu.........LeBron IS THE BEST!...PERIOD!
 
Vipi tena AT&T Arena...yaani aircondition inakatika!!......anyway hiyo sio sababu ya kushindwa kwa "The Sunshine State" MIAMI HEAT......gemu ijayo itakuwa balaa....kwa jinsi nilivyoona.....Spurs wana wakati mgumu.....
 
Pamoja na mengine yote....hii gemu jamaa asingeumia......Miami walikuwa wanashinda hii gemu.........LeBron IS THE BEST!...PERIOD!

Me nakataa Mkuu, ni zile turnovers kwenye qtr 3 za mwanzo ndio ziliwafanya Heat waongoze, Spurs walivyoacha turning the ball over, game ikawa mpya

Na sisi Green Ranger kaanza kufunga points zake za kwanza kwenye qtr ya nne, imagine kama angeanza kufunga mapema, game ijayo I hope hiki kigugumizi cha leo kitakua kimemtoka
 
Game 2 na 3 Miami anashinda zote, game 4 itakuwa ngumu sana, Spurs itabidi ashinde ili tufike game seven.

Miami 3 peat.
 
tulishasema kuhusu Danny Green na 3 zake zilikuwa muda muafaka nyavu tu zilikuwa zinalia Shwiiiii! Shwiiiii! Miami Heat wame Feel The heat wote wamecheza uwanja huo huo wa Joto so malalamiko yapungue, Spurs watengeneze AC Kabla hajaanguka mtu, Kama kawaida Humu Pic zimechelewa mpaka ziombwe wangeshinda Miami Heat Picha zingekuwepo kurasa mzima za Miami Heat watu Dunk mara Tatu ila a Spurs tutaambiwa nilikuwa na Shemeji yenu kidogo! Manu kanifurahisha ila Danny Green alikuwa kashaanza kuniuzi ila Kama kawaida watu wa 3 Wana time zao zikifika utalia Texas is Hot make it 2-0.
 
Nimepitia tu....mmmh!...leo kitumbua kimeingia mchanga aisee...khaaa!
Ab-Titchaz pole ndio ukubwa ila kwako ushabiki weka pembeni wewe ndio mrusha pic wetu tuna kutegemea so rusha inavyotakiwa sio upendeleo weka Ray Allen a Dunk hehe , Danny Green 3 au Tatu ya Tooooniiii Parker(French Accent) ile Kule kona aliyepiga kuwe Kama Movie Highlight hivi ya Pic tunapenda tukiona umechangamka hatupendi tukikuona unafanya kitu Shingo upande.
 

Haya kamanda, mkubwa ni wewe...lol....Hii sio shingo upande maana mwenzio I have high regard for the Spurs
since the days of the Twin Towers...akiwa na Robinson. Unakumbuka them days? I always rooted for them against
the Lakers...awamu hii sasa imekua kero kuchagua btw Heat na Spurs...but I went with Miami na liwe liwalo mazee...:evil:



SAN ANTONIO, TX - June 5: Tim Duncan #21 of the San Antonio Spurs shoots against Chris Bosh #1 of the Miami Heat in Game One of the 2014 NBA Finals on June 5, 2014 at the AT&T Center in San Antonio, Texas. (Photo by D. Clarke Evans/NBAE via Getty Images)
 



San Antonio Spurs guard Tony Parker runs a drill during basketball practice on Wednesday, June 4, 2014 in San Antonio. The Spurs play Game 1 of the NBA Finals against the Miami Heat on Thursday
 
Time ya Yule mwanajeshi nilikuwa siipendi Spurs sababu ni Zambarau na Manjano toka 92 na kwaujumla sikuwahi kaipenda hata Chicago Bulls ila nampenda MJ Kama tunavyomtizama kipaji cha Lebron ila sitaki kuona Miami anashinda ndomana naenda na Spurs siipendi Miami Heat toka Shaq alivyokwenda South Beach! LA Lakers najuwa tutachukua miaka mingi timu kukaa sawa nimeipenda Lakers mara ya kwanza kuiona watu walikuwa wanaotizama mdogo nikatokea kupenda gafla ila zaidi 96 time kila mtu Bulls ndio sasa vijana wote Miami Heat tu ila ndio kizuri kwenye macho mwanzoni kkinaingia kwenye moyo.
 
baadae nilivyoanza kufuatilia kwa akili na kuielewa game ni 96 sana nilikuwa nampenda Van Exel sababu ya kuvaa jezi number 9 nachukulia Kama Football hehehe na. Eddy Jones ndio alikuwa star namtizama ila Brother wangu mkubwa yeye ndio alikuwa anapenda kucheza Basketball na Kuipenda Chicago Bulls na nilikuwa na Uncle wangu kacheza Pazi ya kikapu Tanzania ila Mie Basketball kucheza sijapenda hata kidogo kutizama tu na Lakers isipocheza nasubiri Playoff kuona Pinzani anafungua hehehe Kama Boston haya Kama ingekuwa Wizard na Spurs maybe ningekuwa hater wa spurs Leo ila juu chini Lebron kipaji chake kikubwa saaaaana Assist Magic yeyeye Block mutombo yeye kuchoma Reggie Miller yeye ila nimechunguza Lebron James anauwezo wakucheza akapiga point 50 ila hataki yawe ya Westbrook rahisi ukiharibu watu kukulalamikia Hilo ndio hataki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…