...Leadership and Teamwork, Both are lacking in Miami.
Hivi game zetu za Afrika/Tz zinafuatiliwa na wazungu aghalabu kama sisi tunavyofuatilia zao?
Hatuwezi kujuwa chochote mara kitatokea ila 3-1 San Antonio sio rahisi kuharibu, Ogah vipi Brazil umefurahi na holiday yako ? tunafurahi kuona umerudi kwenye shughuli zako za kawaida tumesema usije ukapitiliza huko Jimama mmoja akakubeba villimani Kule siku ya kazini unasikia Alarm Kumbe bado upo Brazil mtu wetu hehehe.very true.......si umeona jinsi ambavyo Parker na Manu wasivyofanya sana kazi lakini...vijana wao wanavyoteremsha kibano....duuh......Heat hachomoki hiyo kesho....
Hatuwezi kujuwa chochote mara kitatokea ila 3-1 San Antonio sio rahisi kuharibu, Ogah vipi Brazil umefurahi na holiday yako ? tunafurahi kuona umerudi kwenye shughuli zako za kawaida tumesema usije ukapitiliza huko Jimama mmoja akakubeba villimani Kule siku ya kazini unasikia Alarm Kumbe bado upo Brazil mtu wetu hehehe.
Duuuhh Wakuu nilisikia tu kelele za my significant other kwenye simu.....ilibidi ni-pause kidogo nitoke kwenye Party ya Samba.......maana yeye anaishangilia Spurs........duuuhh hii balaa.....nimerudi mjini likizo imeisha.....na maumivu......na hiyo Sunday ndio kabisaaa.....Heat atacharazwa viboko kama mtoto wa Kiafrika aliyegoma kwenda shule....Jumatatu "Boksi" na maumivu duuhhh......we will be back next season wakuu.....maana kwa hali ilivyo Heat hachomozi tena......
Mazee hivi umegundua kuwa wins zote za Spurs ni blowout?
Game ya kwanza walishinda kwa points 15....game ya pili wakashindwa kwa points mbili (la sivyo Heat wangekuwa swept)....game ya tatu wakashinda kwa points 19.....na game ya nne wakashinda kwa points 21!
Kuna pattern hapo mazee.....
Huyu Patty Mills ndo nani huyu? Khaaaaaa!!!!
NN, Hasheem is not a bustNaona Hashimu siku hizi kawa benchwarmer tu.
What a bust.
Serge Ibaka naona anawakilisha vyema sana na kwa kweli game yake ime improve sana.
NN, Hasheem is not a bust