2015/2021 Machi, kila kitu ilikuwa tumwombe Mungu, sasa ni zamu ya machifu kuomba kwa mungu wao ili mvua zije

2015/2021 Machi, kila kitu ilikuwa tumwombe Mungu, sasa ni zamu ya machifu kuomba kwa mungu wao ili mvua zije

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Jina Mungu lilitajwa kila alipokuwa asiyependwa na wafoji vyeti, JPM,

Kwenye shuguhuli zote za Kiserikali, jina Mungu lilisimama, kwenye korona, jina Mungu lilisimama, na Kwa tarifa tu ni kuwa, Tulianza kuamini zaidi kuhusu Mungu na uweza wake

Mvua hazikukata, shibe ilikuwepo, hatukushuhudia upungufu wa maji, chakula wala Kupanda bei Kwa nafaka n.k

Wakati huu, ni machifu nao waingie mzigoni, kwani mpaka sasa hawaoni hali ni mbaya!

Mbona hakuna maombi kuombea mvua kwa mungu wao?
 
Jitahidi kuandika vizuri mkuu.

Tuitunze tuidumishe Lugha yetu mujarabu Lugha yetu adhimu ya kiswahili

KONGOLE kiswahili.......
 
Jina Mungu lilitajwa kila alipokuwa asiyependwa na wafoji vyeti, JPM,

Kwenye shuguhuri zote za kiserikali, jina Mungu lilisimama, kwenye korona, jina Mungu lilisimama, na Kwa tarifa tu ni kuwa, Tulianza kuamini zaidi kuhusu Mungu na uweza wake

Mvua hazikukata, shibe ilikuwepo, hatukushuhudia upungufu wa maji, chakula wala Kupanda bei Kwa nafaka n.k

Wakati huu, ni machifu nao waingie mzigoni, kwani mpaka sasa hawaoni hali ni mbaya!

Mbona hakuna maombi kuombea mvua Kwa mungu wao?
Unataja jina la Mungu huku unauwa watu kama si uchuro ni nini?
 
Jina Mungu lilitajwa kila alipokuwa asiyependwa na wafoji vyeti, JPM,

Kwenye shuguhuri zote za kiserikali, jina Mungu lilisimama, kwenye korona, jina Mungu lilisimama, na Kwa tarifa tu ni kuwa, Tulianza kuamini zaidi kuhusu Mungu na uweza wake

Mvua hazikukata, shibe ilikuwepo, hatukushuhudia upungufu wa maji, chakula wala Kupanda bei Kwa nafaka n.k

Wakati huu, ni machifu nao waingie mzigoni, kwani mpaka sasa hawaoni hali ni mbaya!

Mbona hakuna maombi kuombea mvua Kwa mungu wao?
Kwa Wakristu amri ya pili aliyoipokea Nabii Musa toka mlima Sinai inasema "Usilitaje Bure Jina La Mungu Wako"

Magufuli alikuwa analitaja Bure na kuingia kanisani kama show off. Akitoka hapo anakwenda kumwaga damu za wasio na hatia kama Ben Saanane.
 
Kwa Wakristu amri ya pili aliyoipokea Nabii Musa toka mlima Sinai inasema "Usilitaje Bure Jina La Mungu Wako"

Magufuli alikuwa analitaja Bure na kuingia kanisani kama show off. Akitoka hapo anakwenda kumwaga damu za wasio na hatia kama Ben Saanane.
Hili kuilinda serikali iliopo madarakani sadaka kama hizo ni lazima.
Yani hata ungekua ww lazima tu ingekua hivo.
Alfu inawezekana tu ikawa sio Hayati Magufuli kufanya hilo tukio Ila ni kina fulani bin fulani walifanya tukio kumchafua Hayati Magufuli.

Apumzike kwa amani na wengine wote walioichongolea mdomo serikali ikijua dhahiri haina ujanja wala ubabe wa kupambana na serikali.
 
Tanzania sasa hivi inalindwa na jamhuri.
Ndio maana Mungu hatajwi tena? Baada ya kuachana na Mungu hata mauaji ya albino yamerudi upya, yote hayo yaliisha wakati TZ ilipokuwa ikimkabidhi Mungu mambo yote magumu. Hata nzige walipoweka kambi nchi moja jirani JPM aliita watu wa maombi na tunajua yaliyotokea, Jamhuri wala Machifu hawawezi kuilinda nchi hii. Tutaumia sana.
 
Ndio maana Mungu hatajwi tena? Baada ya kuachana na Mungu hata mauaji ya albino yamerudi upya, yote hayo yaliisha wakati TZ ilipokuwa ikimkabidhi Mungu mambo yote magumu. Hata nzige walipoweka kambi nchi moja jirani JPM aliita watu wa maombi na tunajua yaliyotokea, Jamhuri wala Machifu hawawezi kuilinda nchi hii. Tutaumia sana.
Mawazo ya kifala haya
 
Viongozi wa dini waamke sasa kama viongozi wa kisiasa wameshindwa kuwaita basi wao waandae maombi wamualike hata mke wa waziri mkuu na mama magufuli tumlilie Mungu pamoja
 
Hili kuilinda serikali iliopo madarakani sadaka kama hizo ni lazima.
Yani hata ungekua ww lazima tu ingekua hivo.
Alfu inawezekana tu ikawa sio Hayati Magufuli kufanya hilo tukio Ila ni kina fulani bin fulani walifanya tukio kumchafua Hayati Magufuli.

Apumzike kwa amani na wengine wote walioichongolea mdomo serikali ikijua dhahiri haina ujanja wala ubabe wa kupambana na serikali.
Mungu hawezi kumlaza pema huyo pimbi hata kidogo. Huyo Mwendazake atakuwa anaungua moto tu. Kwa namna alivyopendelea Kijijini kwake Chato kwa kujenga airport na kuwapa nafasi nyeti watoto wa dada zake kwenye Serikali.

Mtu aliyesema sileti maendeleo kwenye majimbo ya upinzani kwa sababu hawakunipigia kura ni WA kuungua na moto tu.

Mtu mwongo, mtekaji na muuaji wa wapinzani hawezi kupimzika mahali pema
 
Back
Top Bottom