Pikipiki kila tawi?! Labda mikoa mingine hazikufika.Weweeeeee,acha kujifariji
Chama kilikuwa hakijawahi kugawa pikipiki ngazi ya tawi, mzee wa watu alitoa pesa za kununua usafiri kila tawi halafu wewe unasema hakuwa na impacts.
Kiujumla tamaa ya pesa imekiponza cdm,
Hata sasa mbowe anatumia umaarufu wa 2015 ambao mzee lowasa aliwapromote
Acha tu ndugu yangu watu tumekimbia familia tumeshinda milimani usiku wa manane wengine wameachwa na vilema leo tunajutia juhudi zote tulizotumia kujenga chama yaani nikikumbuka sekeseke za arumeru roho inatoa machozi Ila poa tu. Mbowe alaaniwe kwa alichokifanya 2015Watu wameumizwa sana. Nikimkumbuka ndugu yangu Mikael Aweda naumia sana moyoni kwa aliyopitia.
yupo chama gani si muhimu, muhimu ni kwamba hayuko ikulu mlikotaka kumpeleka kitapeli.Kwani lowasa yupo chama gani?
Unayemzungumzia ni Dr Slaa yupi?Labda wale walioko makao makuu au kwenye payroll ya chama ndio wataweza kutetea hali ya sasa hivi ila sisi tuliokuwa tunatumia nguvu na rasilimali zetu hakika tuliumizwa sana na kuondoka kwa Dr. Slaa Kwa sababu tunafahamu nguvu na ushawishi uliotumika kuisimika chama hasa maeneo ya vijijini ambako kwa miaka mingi ndio palikua ngome ya CCM ila kwa sasa hakuna hoja twaweza simamia ni kama waliopo wanaanza upya. roho yangu inauma siwezi kuwa ccm wala siwezi kuitetea chadema nimeona bora nibaki na jiwe kuu la pembeni rais ambaye kwa hakika ametuheshimisha kama taifa JPM
Umefilisika hoja, nenda kanywe maji upoe.Sitathubutu kumpigia kura MCHAGGA. Kwanza MCHAGGA ni mpenda hela, utu wengi wao hawana, udini na ukabila ndio usiseme. Halafu siwatambui kama ni ndugu zetu hawa, hawa sijui made in wapi tu! Anaejua atudokeze ni from eritrea ama??
Unahoja mkuu lakini tambua watu walikua radhi kukipigania chama sababu kilikua na dira na itakadi inayoeleweka. Pamoja na mazingira ya kisiasa kuwa magumu kama chama kingekua na misingi na itikadi zile za Dr.Slaa wala magufuli asingeweza kukisumbua tatizo ni kukosa dira na viongozi wa kusimamia hayo. Kubadili gia kumetuvuruga sana na kubwa zaidi ni kuondoka kwa kiongozi mwenye sifa za kufanya hayo of which ni Dr aliyeyafanya hayo kwa uweledi mkubwaUnayemzungumzia ni Dr Slaa yupi?
Yule ambae
-alisindikizwa na Dr Mwakyembe kwenye mkutano wake na waandishi wa habari?
-alikuja lipiwa deni na CCM ili nyumba yake isinadiwe
Basi poleni sana.
We shall overcomeTunaitaji kiongozi makini kama Mbowe .....ambaye sio maskini
We shall overcome
kweli kabisa. kama analipwa mshahara na marupurupu ya ubunge na bado anajilipa m50 za chama kila mwezi, umaskini kwake utatoka wapi?!Tunaitaji kiongozi makini kama Mbowe .....ambaye sio maskini
kweli kabisa. kama analipwa mshahara na marupurupu ya ubunge na bado anajilipa m50 za chama kila mwezi, umaskini kwake utatoka wapi?!
soon itajulikana lipi ni lipi.Mbona mnaweweseka Mara mil 400 Mara BL.8 Mara mil 50 lipi nilipi.
soon itajulikana lipi ni lipi.
Ni kundi lipi kwenye Jamii kusema limefaidi uwepo wa ccm awamu hii yaani limepata nafuu.Ukipata jibu ndo litakuwa jibuTo be honesty, CHADEMA 2015 mlikula bata Sana katika uchaguzi ukilinganisha na CCM, pamoja na kwambaMzee Lowassa hakuwa na hoja na nguvu ya kushawishi watu,lakini bado watu tulikuwa tumefall in love to CHADEMA without any reason behind.
Kwanini? Kuna sababu kama mbili za msingi.
1. Kuchoshwa na CCM sababu ya rushwa na ufisadi
2. Kuiamini CHADEMA hasa kwa Sera nzuri na umakini kwa wakati huo
What happened, kumbe CHADEMA was doing unseen commercial business with mamvi.
Mkubali au msikubali kosa la kukaribisha watu toka CCM 2015 halisahishiki litagharimu si chini miongo miwili au mitatu hivi.
CCM uchaguzi 2020 itakuwa na kazi ndogo sana kwanza sioni hata umuhimu wa kukurupushana na wapinzani ,achaneni nao wameshajimaliza wenyewe 2015.
Chadema kwisha Habari yake
Mbowe alipiga mabilion kumruhusu Lowassa agombee Urais.
mama yako naye ni mataga wa ccm?!Akili za kimaskini zinakutesa
Then Mbowe. Angepora Trillion elfu kumi mimi siwezi kuipa kura yangu ccm japokuwa mama yangu ni diwani wa ccm mapenzi ayalazimishwi...hela za cdm zinaibiwa mtu wa Mataga unalalamika , kama si uchizi ni nini
mama yako naye ni mataga wa ccm?!