2016 Toyota Fortuner 2.8 GD.

2016 Toyota Fortuner 2.8 GD.

Isanga family

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
17,080
Reaction score
33,076
2016 Fortuner 2.8 GD 4×2, Rand 520,000

1004513550_1_644x461_2016-fortuner-28-gd-4-2-manual-hurlingham-view.jpg
1004513550_3_644x461_2016-fortuner-28-gd-4-2-manual-toyota.jpg
1004513550_6_644x461_2016-fortuner-28-gd-4-2-manual-.jpg
1004513550_7_644x461_2016-fortuner-28-gd-4-2-manual-.jpg
1004513550_1_644x461_2016-fortuner-28-gd-4-2-manual-hurlingham-view.jpg
1004513550_3_644x461_2016-fortuner-28-gd-4-2-manual-toyota.jpg
1004513550_6_644x461_2016-fortuner-28-gd-4-2-manual-.jpg
1004513550_7_644x461_2016-fortuner-28-gd-4-2-manual-.jpg
 
Nilitaka tuu kufahamu mkuu,hiki kipindi cha Magu hio hela tunafanya kuisikia tuu
Ok mkuu mimi mwenyewe nafanya kuwaonyesha bei gari za mwaka huu maana gari Tanzania wanaongeza sana sifuri wakati zinakotoka bei ya kawaida tuu sasa hiyo ya 2016 ipo bei hiyo ya 2010 si ipo chini zaidi maana SA bei inapungua kutokana na mwaka hata lingekuaje gari toleo la 2005 mpaka 2008 hilo ni la Zamani bei itakua chini ntatoa magari mengi ambayo katika auction bei za kawaida tuu huko tunazidishiwa sifuri nyingi tuu
 
Ok mkuu mimi mwenyewe nafanya kuwaonyesha bei gari za mwaka huu maana gari Tanzania wanaongeza sana sifuri wakati zinakotoka bei ya kawaida tuu sasa hiyo ya 2016 ipo bei hiyo ya 2010 si ipo chini zaidi maana SA bei inapungua kutokana na mwaka hata lingekuaje gari toleo la 2005 mpaka 2008 hilo ni la Zamani bei itakua chini ntatoa magari mengi ambayo katika auction bei za kawaida tuu huko tunazidishiwa sifuri nyingi tuu
Mkuu upo SA?
 
Ok mkuu mimi mwenyewe nafanya kuwaonyesha bei gari za mwaka huu maana gari Tanzania wanaongeza sana sifuri wakati zinakotoka bei ya kawaida tuu sasa hiyo ya 2016 ipo bei hiyo ya 2010 si ipo chini zaidi maana SA bei inapungua kutokana na mwaka hata lingekuaje gari toleo la 2005 mpaka 2008 hilo ni la Zamani bei itakua chini ntatoa magari mengi ambayo katika auction bei za kawaida tuu huko tunazidishiwa sifuri nyingi tuu

Harrier hybrid ya mwaka 2010 inapatika kwa randi ngapi huko kwa madiba??
 
Harrier hybrid ya mwaka 2010 inapatika kwa randi ngapi huko kwa madiba??
Mkuu harrier ni gari zilizotengenezwa Japan zinapatikana Durban na Messina sijajua bei gani maana hizi haziruhusiwi kusajiliwa SA zinauzwa tuu kwa nchi zinazotumia hayo magari na pia likiuzwa haliruhusiwi kutembea SA linabebwa mpaka Botswana kwa ajili ya kulinda soko la magari wanayotengeneza wao ila Lexus wanazo ila chache..
 
Back
Top Bottom