2018 (Russia) & 2022 (Qatar) World Cup Draw in Zurich

David Beckham tries to deliver the charm but it doesnt work for England....




 




Sepp Blatter anafungua bahasha....2018 FIFA WC inakwenda Russia!!!!!
 
2018 = Russia wamechukua ushindi wa kuandaa kombe
 
Sasa tunasubiri nani atahost 2022...Marekani, Australia na Qatar wamo kwenye listi!
 



Qatar wamechukua ya 2022!!!!....haya kazi kweli hapo. Watu washaanza kuuliza je Israeli watashiriki kucheza na nchi za kairabu?...kwi kwi kwi!!!

Wamarekani washaanza kukashifu Qatar eti sijui kuna joto jingi,mara taifa sijui ni dogo na japo hawasemi....najua watasema Al-Qaeda wamo!
 
Duh! Yaani Uingereza na 'vuvuzela' wake wote imepigwa chini? Kweli Russia wakali! Nadhani huu utakuwa ni uteuzi wa haki maana mzee wa Judo Putin alikuwa atie timu Zurich kupiga debe lakini baadae akasema asingekwenda maana FIFA waliishaamua na aende ama asiende isingeweza kubadili uamuzi wao! Russia?? Yatafanikiwa kweli?
 
Waingereza watazaaaa na FIFA. kuna kipindi nasikia walitoa kinaonyesha list ya wachakachuajia na wala rushwa ndani ya fifa . Yumo na Issa ahayotou wa africa
 
Qatar walishasema wataweka ac viwanja vyote, ni kweli kuna joto sana
 
Qatar walishasema wataweka ac viwanja vyote, ni kweli kuna joto sana

Bora WC 2018 ni nchi ya baridi na 2022 ni joto..hao wazungu kwani hawajui na kwao kuna baridi, yaani inauzi!!
 
Sera ya Blatter ni kuendeleza mpira. Ndio maana aliweka seraya ya kuibeba africa. England tayari wako mbele. England football inaweza kuendelea bila msaada wa FIFA. ndio maana wanapigwa chini.
 
Russia has won the FIFA vote to host the 2018 World Cup finals, beating competition from England, Netherlands/Belgium and Spain/Portugal.

FIFA chief Sepp Blatter announced the result of the 22-member panel in Zurich, Switzerland. It will be the first time Russia has hosted the tournament.

Qatar have been awarded the 2022 World Cup after seeing off challenges from Australia, Japan, South Korea and the USA.

Soccer / Football News and Scores - ESPN Soccernet
 
Du maskini England! pamoja na kuwa na the "best presentation" bado wamewapiga chini, si wangekuja kuwakodi NEC ya Tz huenda wangeshinda! Maskini Beckham!
 
England na mbwembwe zote kwishilia mbali. Wanatuvalia visuti vya kunadi soko kwenye bid
 
Sipati picha miujiza ikitokea Israel na Palestina waka wemo world cup 2022 alafu wote wawe kundi moja inachezewa tena Uarabuni.
 
Mambo yote iko Brasil 2014.....brace yourselves for the inevitable samba domination.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…