2018 (Russia) & 2022 (Qatar) World Cup Draw in Zurich

Waingereza watazaaaa na FIFA. kuna kipindi nasikia walitoa kinaonyesha list ya wachakachuajia na wala rushwa ndani ya fifa . Yumo na Issa ahayotou wa africa

Kilikuwa ni Panorama cha BBC. Jamaa Walikandia sana hasa kuhusu mbantu Issa Hayatou. Nadhani jibu la FIFA kuhusu madai yao wamelipata barabara za uso!!

 
Disappointed! Nilitaka sana 2018 iwe England.....!
 
joto la Qatar si wachezaji watakuwa wanadondoka hio 2022? noma hapa naona wamechemsha fifa.
 
Qatar walishasema wataweka ac viwanja vyote, ni kweli kuna joto sana

nikweli Qatar walisema wataweka viyoyozi viwanja vyote vitakavyochezewa mechi za world cup 2022 na uwezo huo wanao,matajirisana hawa mkuu ni PETRO DOLA hao,sijui huko rusia itakuwaje au nawao wataweka hiter machine viwanjani mana kuna barid sio mchezo,ni theluji la nguvu,hongera rusia,hongera Qatar.
 

Wale akina Malaria Sugu na Al Qaeda itakuwaje? Maana wapo karibu sana na Qatar http://en.wikipedia.org/wiki/Al-Qaeda
 
Qatar washaanza kufanya ma-advertisement ya nguvu...

Ndani ya Doha hapo...




Qatar University Stadium




Al-Shamal Stadium



Al-Gharafa Stadium



Doha Port Stadium

 
Hongera zao wanaCatar kwa kupewa nafasi ya kuandaa masindano hayo makubwa kuliko yote Duniani.
 
Al-Rayaan Stadium





Al-Khor Stadium





Umm Slal Stadium





The Sports City Stadium





Al-Wakrah Stadium

 
Mambo ni teknolojia tu hapo Qatar...wanatime ya kufanya mazingaombwe!!!!
 
Good choices for further SOCCER DEVELOPMENT.

Wauza sura (England ie. Beckham, William, Cameron) wameangukia pua.
Got only 2 votes, and were eliminated FIRST...

Russia got 13 votes and won outright on only the second round of voting.

Qatar (2022) won after 4 rounds of voting.

The big fight goes back to Europe in 2026.

China in 2030?

Just wondering what'll happen 20 years from now...
 
Disappointed! Nilitaka sana 2018 iwe England.....!
Bid ya england kibepari ilikuwa inalipa zaid

  • infastructure nyingi zipo tayari
  • Faida ambayofifa wangepata nikubwa kuliko nchi washindaniha
  • Gharama amabyo FIFA wangetumia ingekuwa ndogo
Nimesikia hata blatter anasema Technicaly bid ya england ilikuwa strong ila blatter ana priority zake ndio maana hata africa tulipata chance


Sasa Qatar itaanza kuwabatiaza wachezaji wa Nigeria na Ghana uraia kama wanavyofanya kwa wanariadha wa kenya
 
At least am relieved kwamba politics set itself aside on decision making, after what is happening in politics nowdays (waarabu kudundwa, naweza kuita kudharauliwa), huku post-cold war Russia ikiwa inaonekana kama Jinamizi bado kwa dunia (refer to wikileaks reports), basi FIFA imetenda haki kwa soka kuwa ni kuleta umoja, ilianza na Africa, this time imekwenda kwa Russia na Qatar.
BTW; With all respect to England, i wasnt in their Boat ku-bid, am glad they are OUT!
 
Abuu hizo ni models au ni picha halisi?

duh nilisahau kujiuliza hilo manake nilibaki na kuchanganyikiwa lakini uziri wake hata kama ni models kwa mambo yalivyo sasa na hela walizo nazo vyote hivyo vitakuwa kama hizo picha lol.


mie naomba usalama tu watuhakikishie na tumuombe mola atujalia uhai kama ulivyosema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…