D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
- Thread starter
- #61
mkuu mbona matokeo yanajulika yaani shida iko palepale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mbona matokeo yanajulika yaani shida iko palepale
asante sana rafiki angu s unajua me ni no one fan wako??? Sitaacha nakupenda zaidi heri ya mwaka mpya
Sky Eclat
Nifah
shunie
mzigua
nalendwa
List haina Heaven Sent? Ni batili hata wewe mtoa mada unajuaHabari wanajukwaa''
Ni muda sana sijapost kwenye jukwaa hili lakini naombeni leo,
Mimi pia nipate nafasi ya kuwapongeza wanajamiiforums hawa ambao kiukweli wako juu.
Kuanzia majibu yao mpaka vision zao kwa mujibu wa maandiko yao ninayoyaona humu jukwaani.
Kwanini sio kwa wanaume?
jinsia ya kiume ina mchango mkubwa sana hilo lajulikana wazi tofauti na jinsia ya kike ambao wengi wao wanajadili majungu,mapenzi na vitu visivyo na umuhimu tena kwa point zisizo na maana ila kuna baadhi ni tofauti.
Kwa lugha za kibongofleva naweza kuwaita malkia wa nguvu, ila kiufupi nawapongeza sana kwa mitazamo yao.
Najua wapo wengi wenye mitazamo sahili ya maisha ila ama wameamua kuificha au mimi sijawatambua nanyi hongereni sana popote mlipo.
,kama kuna mwanaume unayehitaji mwanamke wa kuoa ukampata yeyote kati ya hawa ntakaowaorodhesha oa haraka mi ntachangia harusi ila hatakuangusha huyu na ndoa yenu itakuwa na mafanikio makubwa.
Pia kwa wale wenzangu na mimi ambao muda wote tunawaza noti tunazipataje ukimpata mwanamke kama huyo hebu achana na mambo ya kupetipeti!!.. Weka idea mezani hawezi kukuangusha..
Najua wadau wengi wa jukwaa hili hampendi kusoma maneno meeeengi wacha niishie hapa niwashushe wahusika hapa..
• King'asti
• chinchila coat
• Sky Eclat
• miss zomboko
• Thad
• Avriel
• Zainab Tamim
• Rebeca 83
• farkhina
• Zurie
• ladyfurahia
MKO JUU WATU WANGU.
Mi kwenye orodha yangu wapo hao Najua kuna watu mlitarajia wawepo ila hawawezi kuwepo sababu sifa ya maneno mengi na ucheshi sio Moja kati ya vigezo nilivyotumia.
WEWE PIA TAJA SUPERLADY WAKO KWA MWAKA 2018
ndio hayupo
Ok mkuu i appreciate youAsante kwa kutambua uwepo wangu🙏
u talk the point.
Jamani, thanks so much sis. Happy New year
Na kwako pia mdogo ake, mzima wewe? Siku nyingi sijakuonaJamani, thanks so much sis. Happy New year
Nifah
Heaven Sent
Shunie
Mzigua
Mama Sabrina
Sakayo
Nalendwa
Sky eclat
Espy
Nikikumbuka ntaongeza mmesahau kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app