Hawa Senegal wanaleta usenge yani!
Kwa nafasi walizotengeneza wangescore walau moja tu kumaliza mchezo mapema. Tunapelekana Mbali sana.Senegal walikua na uwezo wa kumaliza hii game ndani ya dk. 90. Wamepoteza nafasi nyingi sana za wazi.
Semaa jamaa ana njaa balaa..muda wote anataka kushambulia tuu..no back passSliti ni aina ya binadamu wachoyo saana...anataka aachwe acheze peke yake.
Pia Canal aport 1 wamerusha.Nipo bandani hapa, wanatumia Supersport
Hongera sna. Wazee wa kusubiri nyavu zitingishike leo bahat sio yao.Nishampiga. Nilibet ht U 0.5. Yaani mpaka half tym kusiwe na goal. Odds zilikuwa 2.8
Wapigaji nao wameonyesha ufhaifu wao wa upigaji penalties.Makipa wametambiana umahiri wa kuzinasa penalties
We acha tuMchezo ni mtam kama hujabeti kama mm.
Kazi kwao waNigeria, kusuka au kuuchana mkekaDangote kaahidi $ 50,000 kwa kila goli Nigeria watakalofunga na billionea mwingine Femi Otedola ameahidi $ 25,000 kwa kila goli litakalo fungwa na Nigeria!
Ss7 sioNipo bandani hapa, wanatumia Supersport
Nilifata over waliweka 1.54Hongera sna. Wazee wa kusubiri nyavu zitingishike leo bahat sio yao.
Ok poa nimepata kwa jamaa hapa ana ungo mkubwa tunaangalia kupitia Bein sports...Nipo bandani hapa, wanatumia Supersport
Niliomba Mane asipewe penalt, hatimaye hajapewa ila yule mpuuzi naye kavurugaWapigaji nao wameonyesha ufhaifu wao wa upigaji penalties.
Poa mkuuOk poa nimepata kwa jamaa hapa ana ungo mkubwa tunaangalia kupitia Bein sports...
NishawaitaHahahaha baba swalehe,ita wandishi wa habari [emoji23][emoji23]
Nliahidi dola ef mbiliUngeahidi wakati Taifa Stars wanacheza mechi za makundi.