2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Hadi hapa napenda kuchukua fursa ya kujipongeza mwenyewe kwa mkeka huu ulivyotiki barabara.

Mkeka wa lala salama utakuwa namna hii.

1. Bingwa AFCON 2019 - Algeria (Timu iliyofungwa magoli 2 hadi sasa ndani ya dk 90)
2. Mshindi wa Pili - Senegal
3. Mshindi wa Tatu - Nigeria
4. Mshindi wa Nne - Tunisia.

View attachment 1153845
Hadi hapa sina la ziada, my carpet survived tale to tale.

Hongereni Algeria kwa kuweka rekodi hii.
 
Leo tarehe 19 July 2019 tumeshuhudia final mbovu kabisa pale Egypt, Goli la mapema kabisa linawanyimba Senegal ubingwa pamoja na kufanya juhud kubwa kusawazisha, inauma sana
 
Timu bora katika mchezo wa leo imefungwa


Pole kwa wazee wa majamvi maana kila kona mnasonya sonya tu
 
Hongereni sana Aljazaair🇩🇿🇩🇿🇩🇿😍😍😍😍😍 mpaka hapa mlipofikia mnastahili pongezi kubwa maana mmepigana kwakweli.


Tunawaombea kila la kheri Algeria hukoo world cup tuko nyuma yenu wababe 💪💪💪💪, pia hongereni senegal kuwa mshindi wa pili, pia Nigeria mshindi wa tatu.
 
Back
Top Bottom