Nakuhakikishia zikiwa chache tunakula goli 4 kavuHuenda kesho tukawashangaza walimwengu.
Lilikuwa ni swala muda tu Burundi kufungwa mkuuKwa wakamaria burundi kapewa odds 6+ ,nigeria 1.54. Waliwadharau sana,
Kanji anajua anachokifanya...Kwa wakamaria burundi kapewa odds 6+ ,nigeria 1.54. Waliwadharau sana,
TUPO PAMOJA MKUUHuijui starz ya amunike wewe,kwanza atajaza mabeki watupu ,subir uone
Kesho tunaweza kupigwa 5+
Nigeria 1 - 0 BurundiPiga wanaija haoo [emoji125][emoji125]
Thubutu.Huenda kesho tukawashangaza walimwengu.
Tutafanya rejea hapa! Ila kwenye mpira hamna mbabe wala mnyonge wa kudumu.Nakuhakikishia zikiwa chache tunakula goli 4 kavu
Si unasikia washaanza kugomea posho.Tutafanya rejea hapa! Ila kwenye mpira hamna mbabe wala mnyonge wa kudumu.
Kwa wakamaria burundi kapewa odds 6+ ,nigeria 1.54. Waliwadharau sana,
Taifa stars hata kupiga pasi 10 ni mgogoro hahahahahahahahah
Hahahahah nakuhakikishia tena kesho tutateseka sana,Tutafanya rejea hapa! Ila kwenye mpira hamna mbabe wala mnyonge wa kudumu.
kama fundi dish nkushauri tumia UBC ni hd na uwakika.Inakata kata sana, sijui hawajajipanga?!
Usinilaumu bure! Upuuzi kaniambukiza mamio.Siku nyingine usirudie kuandika upuuz kama huu
Vyura si muendeleze michango? Kwani mnakwama wapiAcha kuandika matus mkuu
Dola 75 kwa siku ni kama kujitolea tu...Kabisa yaani. Imagine leo Onyago alivyokuwa anaokoa. Anadaka yale mashoot. Leo atalala hoi ndo umlipe dola 75?.Nawaonea huruma taifa stars. Ile michango lazima ikatwe ipelekwe kwenye standard gauge.
Kaandika tusi gani hapo hujui kuwa Okwi anacheza Simba SC. Chura wewe.Acha kuandika matus mkuu