2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Wewe ngoja. Usije ukakimbia

Kwa staili hiii??
Screenshot_2019-06-22-19-43-56-1.png
 
Kama kweli walitoa ahadi wanapaswa kulipwa...huenda wanashaka kuwa watatolewa mapema hivyo kuipata hiyo ahadi itakuwa issue
Kwanini sasa wawadanganye? Ile ni kazi kama kazi nyingine, unapoleta uongo usio kichwa wala miguu una wademoralize wachezaji hata wakiamua kukaa kimya.
 
Mechi gani inayofuata na wanacheza saa ngapi?
 
Naona Mpira kati ya Burundi na Nigeria haujachangamka kama Wa Uganda na congo
 
Haina haja ya kujitangazatangaza kipuuzi hivyo...umeshasema huishabikii sawa tumekuelewa...sasa unapoanza kusema unaichukia ilikufanyeje kwan..au ilikuchukulia mkeo..wacha kiherehere..

Aliekutuma uniquote ni nani?? Ungepita kimya kimya kama imekuuma sana
 
Back
Top Bottom