Unaitwa "MUJENGO"Papaa zahera kachezea mjengo huko[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ashakum si matusi umeushika mkia wa mbwa unauliza mkundu wake ulipo.Mamio ndo nan bi hindu au haji manara
Niliwahi kuandika humu JF, huenda Uganda walipewa kitu au walikuja kutalii sasa acha tujipakulie minyama kuwa sisi wababe wao eti tumepata droo kwao na tukawafunga.Naangalia mechi ya Uganda vs DR Congo, licha ya matokeo ya Uganda kuongoza 2-0 lakini dominance, determination, organisation, vigor ipo juu sana. Sishawishiki kama tuliwafunga 3-0 hapa Taifa bila wao kuweka uzalendo wa Afrika Mashariki.
hahaa maisha magumu banaAfrica jamani , hivi kwanini hii afcon isiweke promotion za nauli timu zipate washabiki wake!!
Aliye ona mechi ya kongo na uganda uwanjani atakuwa shahidi,
washabiki walikua nadhani ni 100, hamsini kongo hamsini uganda!!
Emu kaangalieni copa america jamani, watu wana jaa, hivi ni nini kinakosekana huku afcon team kupata mashabiki wake wa nchi husika lwa wingi??
kivip mkuuAhmad Ahmad ameanza kudharirika
Madagascar wanamtukuza Ahmad Ahmad kuwa kawaletea neema kaingia madarakani tu CAF na nchi yake inaenda AFCON.kivip mkuu
Kwa uandishi wa hivi tayari hiyo Taifa Stars imeshafungwa.Habari Za Muda huu Wa jamii, Sisi watanzania Kwa hamu kubwa Siku Ya kesho Muda Wa Saa Mbili Usiku tutakuwa tukitupa kalata Yetu ya Kwanza Katika Mashindano ya Africa cup of Nations dhidi ya Senegal Ni Matumaini Yangu kesho tunashida Kwani Nia Na Uwezo tunao japo kwenye mpira Wa Miguu Kuna Matokeo ya aina Tatu Ila Sisi ushindi Muhimu.
Sawa mzee napenda kutambua uwepo wako kesho kwa senegal...Ndio maana kuna jukwaa la timu mbali mbali kijana, hili ni jukwaa la mpira thread ya AFCON hakuna thread ya kila timu
Kila mtu mwenye dukuduku lake na timu anasema humu ndani ya thread hii