2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nawakumbusha tuvumiliane
 
_*TANZANIA'S PREDICTED 🇹🇿 PERFOMANCE IN AFCON 2019*_

*GROUP STAGE*
Tanzania 🇹🇿 1-1 Senegal 🇸🇳
🇰🇪 Kenya 0-3 Tanzania 🇹🇿
Tanzania 🇹🇿 0-0 Algeria 🇩🇿

*GROUP STANDINGS*
🇸🇳 Senegal points 7
🇹🇿 Tanzania points 5
🇩🇿 Algeria points 4
🇰🇪 Kenya point 1

*ROUND OF 16*
Tanzania 🇹🇿 1-0 South Africa 🇿🇦

*QUARTER FINALS*
FT 🇳🇬 Nigeria 1-1 Tanzania 🇹🇿
_Penalties_
🇳🇬 Nigeria 3-5 Tanzania 🇹🇿

*SEMI FINALS*
Tanzania 🇹🇿 2-1 Cameron 🇨🇲

*FINAL*
🇪🇬 Egypt 0-2 Tanzania🇹🇿

Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 is declared the 2019 Champion of AFCON in Egypt 😋😋😋

*_Mbwana Ally Samatta becomes the Top scorer of the tournament with 8 goals._

* *🇹🇿🇹🇿🇹🇿VIVA VIVA TANZANIA 🇹🇿🇹🇿 VIVA VIVA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿*

Bro, your sarcasm in this post is very sophisticated, lol.
 
Kila la heri Taifa stars,nyumban kwanza[emoji120]
 
Ogopa sana wachezaji wanataka mshahara wao mapema kwani aanajua hiyo zawadi ya mwisho huenda hata wasiinuse
 
_*TANZANIA'S PREDICTED 🇹🇿 PERFOMANCE IN AFCON 2019*_

*GROUP STAGE*
Tanzania 🇹🇿 1-1 Senegal 🇸🇳
🇰🇪 Kenya 0-3 Tanzania 🇹🇿
Tanzania 🇹🇿 0-0 Algeria 🇩🇿

*GROUP STANDINGS*
🇸🇳 Senegal points 7
🇹🇿 Tanzania points 5
🇩🇿 Algeria points 4
🇰🇪 Kenya point 1

*ROUND OF 16*
Tanzania 🇹🇿 1-0 South Africa 🇿🇦

*QUARTER FINALS*
FT 🇳🇬 Nigeria 1-1 Tanzania 🇹🇿
_Penalties_
🇳🇬 Nigeria 3-5 Tanzania 🇹🇿

*SEMI FINALS*
Tanzania 🇹🇿 2-1 Cameron 🇨🇲

*FINAL*
🇪🇬 Egypt 0-2 Tanzania🇹🇿

Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 is declared the 2019 Champion of AFCON in Egypt 😋😋😋

*_Mbwana Ally Samatta becomes the Top scorer of the tournament with 8 goals._

* *🇹🇿🇹🇿🇹🇿VIVA VIVA TANZANIA 🇹🇿🇹🇿 VIVA VIVA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿*
Sioni taifa stars wakirudi na point japo moja mkononi
 
1135588


Kamati ya ushindi
 
Bills kuwepo kwa erasto nyoni na pengine mdathir yahaya pale kati hakuna kitu hapo unamuachaje nyoni pale nyuma ?
 
Wakuu katika mechi zote tatu tutakazocheza katika hatua ya makundi ya michuano ya Mataifa ya Afrika (Afcon) inayofanyika pale Misri nasikitika kuwataarifu kuwa Taifa Stars haitopata goli hata moja.

Ila tutavuna magoli kibao ya kufungwa hilo halina shaka kabisa, mimi nikiwa Mzalendo wa nchi hii nitakuwa nashabikia timu zote zitakazokuwa zinacheza dhidi ya Taifa Stars.

Kupanga ni kuchagua, tusilazimishane timu ya kushangilia.
 
Back
Top Bottom