2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Hua nawashangaaa Simba na Yanga kukimbilia wachezaji kutoka Afrika ya Magharibi ambao baadae inakuja kuonekana ni magarasha tu

Wachezaji wa uhakika wenye maumbo ya ki spoti, wavumilivu, wanye vipaji, wanaojua kuuchezea mpira na cheap kwenye kuwalipa wanapatikana Burundi na DR Congo

Jaribu kuwafatilia perfomance yao kuanzia enzi za kina Constantine Kimanda, Nonda Shaban hadi kina Amis Tambwe na wengineo
 
_*TANZANIA'S PREDICTED πŸ‡ΉπŸ‡Ώ PERFOMANCE IN AFCON 2019*_

*GROUP STAGE*
Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 1-1 Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³
πŸ‡°πŸ‡ͺ Kenya 0-3 Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 0-0 Algeria πŸ‡©πŸ‡Ώ

*GROUP STANDINGS*
πŸ‡ΈπŸ‡³ Senegal points 7
πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Tanzania points 5
πŸ‡©πŸ‡Ώ Algeria points 4
πŸ‡°πŸ‡ͺ Kenya point 1

*ROUND OF 16*
Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 1-0 South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦

*QUARTER FINALS*
FT πŸ‡³πŸ‡¬ Nigeria 1-1 Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
_Penalties_
πŸ‡³πŸ‡¬ Nigeria 3-5 Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

*SEMI FINALS*
Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 2-1 Cameron πŸ‡¨πŸ‡²

*FINAL*
πŸ‡ͺπŸ‡¬ Egypt 0-2 TanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ is declared the 2019 Champion of AFCON in Egypt πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

*_Mbwana Ally Samatta becomes the Top scorer of the tournament with 8 goals._

* *πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏVIVA VIVA TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ VIVA VIVA πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ*
 
Hata mm nimeshangaa na Morris!Nimekichukua kwenye mtandao wa livescore.Vikosi vinatolewa siku moja kabla ya mchezo.Tutaendelea kufuatiloa kama Agrey anacheza au.
Hicho kikosi chako ni batili, A morris atakosekana leo kutokana na majeraha.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hayo Magoli 8 Samatta kayatoa wapi maana jumla ya magoli yote Hadi final ni 6[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kumbe magoli 9 basi ndoto hii inaweza ikawa kweli,na tukichukua ubingwa Samatta atakua mchezaji Bora wa Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…