majirani nao sio wa kubezwa wako fiti kweliAiseee Mauritania mkuu wakikutana na Egypt, Morocco sijui Tunisia wanapiga kwa mpira waliocheza jana wanakaba vibaya mno kama wacheza Rugby alafu miili yao mikubwa na warefu.
Mali wanakipiga aiseee hawa nawaona wakifika mbali, pamoja na Uganda
kiukweli faridi na msuva walicheza poa hata wakishika mpira unaona kabisa kweli huyu mchezaji anajiamini na yuko makini. Manula kajiongezea sana CVhasa hasa kipindi cha kwanza yani hovyo mpaka nikakata tamaa ila Farid aliongeza kauhai kidogo
uganda ni wazuri ila nusu hawafikiAiseee Mauritania mkuu wakikutana na Egypt, Morocco sijui Tunisia wanapiga kwa mpira waliocheza jana wanakaba vibaya mno kama wacheza Rugby alafu miili yao mikubwa na warefu.
Mali wanakipiga aiseee hawa nawaona wakifika mbali, pamoja na Uganda
Inabidi tufuatilie,huenda ile timu ilikuwa haifanyi mazoezi. Na mbaya zaidi kuna makahaba Wa kiarabu kule wazuri kishenzi ha ha ha habeki zilikuwa na shughuli pevu kweli kweli..ila yule mzee wa urojo doh mpaka huruma yani dakika 20 tu ulimi kandambili[emoji23][emoji23]
na tunavyopenda♡ sasa totoz ahahahahInabidi tufuatilie,huenda ile timu ilikuwa haifanyi mazoezi. Na mbaya zaidi kuna makahaba Wa kiarabu kule wazuri kishenzi ha ha ha ha
hili halina kipingamizi mzee tungepata akina farid wengine wawili mbona boko angefanya zile vitu anafanyaga akikutana na alliancekiukweli faridi na msuva walicheza poa hata wakishika mpira unaona kabisa kweli huyu mchezaji anajiamini na yuko makini. Manula kajiongezea sana CV
Duuuhh, kumbe nimepitwa bonge la burudani, mimi niliishia kuangalia Tunisia na Angola tu hapo janaAiseee Mauritania mkuu wakikutana na Egypt, Morocco sijui Tunisia wanapiga kwa mpira waliocheza jana wanakaba vibaya mno kama wacheza Rugby alafu miili yao mikubwa na warefu.
Mali wanakipiga aiseee hawa nawaona wakifika mbali, pamoja na Uganda
[emoji2] [emoji2]na tunavyopenda♡ sasa totoz ahahahah
nakukumbusha tu Cameroon,Ghana wote leo wanashuka dimbani..usisahau kuwacheki japo ghana sina hata hamu nao basi tu nitawaangaliaDuuuhh, kumbe nimepitwa bonge la burudani, mimi niliishia kuangalia Tunisia na Angola tu hapo jana
bado naipa TAIFA STARS NAFASI KUBWA KATIKA HILIWazee wenzangu eeh kwa upande wangu mimi naona hawa jamaa wana nafasi kubwa sana ya kutinga nusu fainali afcon kwa msimu huu
wewe unasemaje,mwaga zako akina kashasha wazipitie[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1138028View attachment 1138029View attachment 1138030View attachment 1138031
siyo dhambi pia..ila hii ndoto hii! anyway unajua soccer lina maajabu yake enhe[emoji1787][emoji1787]bado naipa TAIFA STARS NAFASI KUBWA KATIKA HILI
Mechi ya saa 2 siikosi, ile ya saa 5 nitaiangalia ndotoninakukumbusha tu Cameroon,Ghana wote leo wanashuka dimbani..usisahau kuwacheki japo ghana sina hata hamu nao basi tu nitawaangalia
[emoji23][emoji23][emoji119]Mechi ya saa 2 siikosi, ile ya saa 5 nitaiangalia ndotoni
mzee baba[emoji39]Senegal pia sioni ubora wao....senegal watoe kwenye list
nimeonelea hivyo weka hapa list yakoMisri inakosaje kwenye list wewe jamaa
Hahahaha mtoe huyo bado hajakutana na visiki....yani sengal kashiriki mara nyingi Afcon halafu anatufunga goal mbili tu teh teh tehmzee baba[emoji39]
amezengua eenhe[emoji23][emoji23]kumbe alitakiwa atuchape ngapi[emoji1787]Hahahaha mtoe huyo bado hajakutana na visiki....yani sengal kashiriki mara nyingi Afcon halafu anatufunga goal mbili tu teh teh teh