comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Mfungwe tu na hiyo timu yenu ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,Rais na Serikali ya Awamu ya Tano!
Siku Taifa Stars inakua timu ya Taifa la Tanzania na watu wake ndio nitaishabikia!
Fungweni kama 100 hivi!
Nipo upande wa adui na sitaki ushauri wa kima yeyote!
yaani harambee stars are jst a level higher than taifa stars. ukweli ndio huo vingine ni maneno tu.
Aseee mnapigwa leo
Huu ka mwandiko wa mbwiga mbwigukeJINA: KIPEPE
UMRI: MIAKA 27
NAFASI: MSHAMBULIAJI
NAMBA: 10
one more time !!!.
It's me again!!!
Ebanaeee Leo taifa stars tusikubali kufungwa na Hawa wa Kikuyu a.k.a Wakenya! Maana washaanza kuleta dharau kabla mechii haijaanza.
Aseeee!
Ebanaaae Leo bora mpira uende mtu abaki au MTU abaki mpira uende, pigeni mbungi kama la kina mapung'o yani ni ng'adu kwa ng'adu!
Ni kukaba wote kushambulia wote kama nyukiii
Wataelewa tuu Hawa wakenya.
Leo Ndio Leo.
Comrade.
Kipele naona kipele kinakuwasha,saa7 kasoro usiku wa leo nitakikunaAseee mnapigwa leo
Watz tutakaaoshangilia Harambee Stars leo njooni huku kuna mtu anataka ku DIE!JINA: KIPEPE
UMRI: MIAKA 27
NAFASI: MSHAMBULIAJI
NAMBA: 10
one more time !!!.
It's me again!!!
Ebanaeee Leo taifa stars tusikubali kufungwa na Hawa wa Kikuyu a.k.a Wakenya! Maana washaanza kuleta dharau kabla mechii haijaanza.
Aseeee!
Ebanaaae Leo bora mpira uende mtu abaki au MTU abaki mpira uende, pigeni mbungi kama la kina mapung'o yani ni ng'adu kwa ng'adu!
Ni kukaba wote kushambulia wote kama nyukiii
Wataelewa tuu Hawa wakenya.
Leo Ndio Leo.
Comrade.
Time will tellWatz tutakaaoshangilia Harambee Stars leo njooni huku kuna mtu anataka ku DIE!
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Huu ka mwandiko wa mbwiga mbwiguke
haahahaHuu ka mwandiko wa mbwiga mbwiguke
BUSH FCwewe unachezea Bashite Stars??
hapo sawa.BUSH FC
Utasikia wachezaji wanasema. Hapa kazi tu ha ha ha ha. CCM Stars hiyoMfungwe tu na hiyo timu yenu ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,Rais na Serikali ya Awamu ya Tano!
Siku Taifa Stars inakua timu ya Taifa la Tanzania na watu wake ndio nitaishabikia!
Fungweni kama 100 hivi!
Nipo upande wa adui na sitaki ushauri wa kima yeyote!