comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Aseeee
Mfungwe tu na hiyo timu yenu ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,Rais na Serikali ya Awamu ya Tano!
Siku Taifa Stars inakua timu ya Taifa la Tanzania na watu wake ndio nitaishabikia!
Fungweni kama 100 hivi!
Nipo upande wa adui na sitaki ushauri wa kima yeyote!