2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

yaani harambee stars are jst a level higher than taifa stars. ukweli ndio huo vingine ni maneno tu.
 
JINA: KIPEPE
UMRI: MIAKA 27
NAFASI: MSHAMBULIAJI
NAMBA: 10
one more time !!!.
It's me again!!!
Ebanaeee Leo taifa stars tusikubali kufungwa na Hawa wa Kikuyu a.k.a Wakenya! Maana washaanza kuleta dharau kabla mechii haijaanza.
Aseeee!
Ebanaaae Leo bora mpira uende mtu abaki au MTU abaki mpira uende, pigeni mbungi kama la kina mapung'o yani ni ng'adu kwa ng'adu!
Ni kukaba wote kushambulia wote kama nyukiii
Wataelewa tuu Hawa wakenya.
Leo Ndio Leo.
Comrade.
Huu ka mwandiko wa mbwiga mbwiguke
 
So sad for him
1561633979245.jpeg
 
JINA: KIPEPE
UMRI: MIAKA 27
NAFASI: MSHAMBULIAJI
NAMBA: 10

one more time !!!.
It's me again!!!

Ebanaeee Leo taifa stars tusikubali kufungwa na Hawa wa Kikuyu a.k.a Wakenya! Maana washaanza kuleta dharau kabla mechii haijaanza.

Aseeee!
Ebanaaae Leo bora mpira uende mtu abaki au MTU abaki mpira uende, pigeni mbungi kama la kina mapung'o yani ni ng'adu kwa ng'adu!

Ni kukaba wote kushambulia wote kama nyukiii

Wataelewa tuu Hawa wakenya.

Leo Ndio Leo.


Comrade.
Watz tutakaaoshangilia Harambee Stars leo njooni huku kuna mtu anataka ku DIE!
 
Paulo Makonda Amonike jambo la kwanza analofikiria ni kukaba kaita wachezaji wa daraja la chini ili wakakabe.

Ili kumzuia Francis Kahata na Victor Wanyama ni lazima uwe na midfield players bora hawa hana hata mmoja aliyepo nae misri.
 
Please link au app tulio na simu ambao hatuna TV na vibanda umiza mbali
 
Mfungwe tu na hiyo timu yenu ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,Rais na Serikali ya Awamu ya Tano!
Siku Taifa Stars inakua timu ya Taifa la Tanzania na watu wake ndio nitaishabikia!
Fungweni kama 100 hivi!
Nipo upande wa adui na sitaki ushauri wa kima yeyote!
Utasikia wachezaji wanasema. Hapa kazi tu ha ha ha ha. CCM Stars hiyo
 
Back
Top Bottom