2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Binafsi Baada Ya Kuangalia Game Kwa Dakika 45 Za Mwanzo Nikagundua Moja Kwa Moja Napoteza Mbs Zangu Bure.

Hongereni Mulio Maliza Dakika Zote 90 Hakika Nyinyi Ni Wazarendo Hasa Ila Mimi Kwa Upande Wangu Sikuweza.

Team Hata Haieleweki Yaani Wachezaji Wanaruka ruka Tu Bora Hata Chura Wa Snura!!.
Ndugu, kuangalia mpira wa hawa jamaa unaweza kupata ugonjwa wa moyo. Hii Nina hakika , nafanya tuu utafiti kidogo Kama hautapata kansa ya macho ....
 
Kikosi cha Leo..... Amunike apitie hapa.
1.Manula
2.Kessy
3.Tshabalala
4.Sonso
5.Yondani
6.Nyoni
7.Msuva
8. Sureboy
9.Bocco
10.Samatta
11.
Hiyo 11 Amunike angempanga kichuya au yeyt mwenye asili hiyo
 
Back
Top Bottom