Ndugu, kuangalia mpira wa hawa jamaa unaweza kupata ugonjwa wa moyo. Hii Nina hakika , nafanya tuu utafiti kidogo Kama hautapata kansa ya macho ....Binafsi Baada Ya Kuangalia Game Kwa Dakika 45 Za Mwanzo Nikagundua Moja Kwa Moja Napoteza Mbs Zangu Bure.
Hongereni Mulio Maliza Dakika Zote 90 Hakika Nyinyi Ni Wazarendo Hasa Ila Mimi Kwa Upande Wangu Sikuweza.
Team Hata Haieleweki Yaani Wachezaji Wanaruka ruka Tu Bora Hata Chura Wa Snura!!.
Ebu ishia hapo unanitamanisha bureTunapenda wote mpira. Tunaangalia huku tunahudumiana.
Hahahahhah,nakutamanisha nini jamani?Ebu ishia hapo unanitamanisha bure
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]Ebu ishia hapo unanitamanisha bure
KuhudumiwaHahahahhah,nakutamanisha nini jamani?
Sidhani Kama anaweza kuja dar.Kocha wa Timu ya Taifa ya Awamu ya 5, Amunike anafikiria kujiuzulu mara baada ya mashindano haya.
Chanzo: Goal.com
Algeriaaaaaaaaaa.Mathematically Taifa stars leo anapigwa. Maana team iliyompiga nayo imeshapigwa.
Hapana Baba Mtakatifu,Kama mnamwamini Mungu basi niaminini na mimi
Usiseme Tanzania tafadhali. Sema UVCCMKwa akili yako ya darasa la saba sishangai, Tanzania hairudi na point ata moja.
Ana tuhuma kibao za rushwa huyo kenge..Huyu Refa wa mechi ya Sen vs Alg ni Bomu.
Mkeka upo hoi nini ?Huyu Refa wa mechi ya Sen vs Alg ni Bomu.
Mzambia huyu. Alichezesha Simba vs TP Mazembe second leg.Ana tuhuma kibao za rushwa huyo kenge..
Kishapewa maelekezo na baba Keagan.Kikosi cha Leo..... Amunike apitie hapa.
1.Manula
2.Kessy
3.Tshabalala
4.Sonso
5.Yondani
6.Nyoni
7.Msuva
8. Sureboy
9.Bocco
10.Samatta
11.
Hiyo 11 Amunike angempanga kichuya au yeyt mwenye asili hiyo
Tatizo aliyesema kichwa cha mwendawazimu bado anaishiKikosi cha Leo..... Amunike apitie hapa.
1.Manula
2.Kessy
3.Tshabalala
4.Sonso
5.Yondani
6.Nyoni
7.Msuva
8. Sureboy
9.Bocco
10.Samatta
11.
Hiyo 11 Amunike angempanga kichuya au yeyt mwenye asili hiyo
Mzambia huyu. Alichezesha Simba vs TP Mazembe second leg.
Hhahahhhhh utadhani yy ndiyo msaidiziKishapewa maelekezo na baba Keagan.
Napenda mpira mpaka naumwa,since nikiwa mtoto kindergatten. Yanga damu damu.Bi Dada nimekupenda bure ni wanawake wachache sana wanaopenda mpira