2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Mkitaka mnenepe Africa shangilieni warabu team zote za Africa magharibi wanaelewa fitina zao wanakupiga nje ya uwanja na ndani wanakugonga chuma mmoja tu
 
Naona dalili za Uganda na Kenya kuvuka... yani tunashika nafasi ya juu kwa kutokea chini πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•
 
Halafu mwana siku yuko press hakuwa na tabasamu ni kama kuna msongo wa mawazo ni kama kuna kitu kinamsumbua. naunganisha dot tu ila sina uhakika. JWTZ ile press meeting kuna watu wamepigwa madongo na watatajwa isije kuwa ndio anatafutiwa njia ya kutolewa kafara katika wale waliomba watu wao wapate kazi. maana ile press ni kama wanaambiwa hatujali vyeo vyao wala nini na hii haijawahi kutokea katika history ya jeshi, kuna watu wameingia 18. just my thoughts nothing more
 
Baada ya kupata burudani kabambe kutoka kwa Harambee Stars hapo jana usiku, nililala usingizi mzigo fofofoooo hatimaye nikachelewa kuamka kwenda safari yangu niliyoipanga.

Ahsanteni Harambee Stars

Fantastic
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 


Funguka mkuu
 
hongera sana harambee stars Kwa ushindi poleni taifa stars sijategemea mlicheza mpira ya kiwango cha juu kuliko mechi ya algeria. what a very tyt east African derby.
kumradhi ,i mean mechi ya Senegal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…