Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Yabidi best mi nishaanza kujiweka kwa Cameroon na Benin. 😀😀😀Hapana kwasasa nikuhamia A. Magharibi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yabidi best mi nishaanza kujiweka kwa Cameroon na Benin. 😀😀😀Hapana kwasasa nikuhamia A. Magharibi
Yabidi best mi nishaanza kujiweka kwa Cameroon na Benin. 😀😀😀
Kama kuna mtu alipoteza Usingizi wake akaangalia Talifa Sitazi nampa pole sana
Za asubuhi mateHahahaa........!
Hao Kenya tutawapiga hata goli 5 yaani " mkono"!
Naona dalili za Uganda na Kenya kuvuka... yani tunashika nafasi ya juu kwa kutokea chini 😕😕😕View attachment 1130345
View attachment 1130346
Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika inatazamiwa kuanza kutimua vumbi ijumaa tarehe 21/06/2019 kwa mechi kati ya wenyeji Egypt dhidi ya Zimbabwe
Michuano hiyo itahusisha mataifa 24 ambayo yamegawanywa katika makundi 6, kila kundi likiwa na timu 4
Tanzania imefanikiwa kufuzu kwenye mashindano hayo kwa mara ya pili katika historia yake, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1980 na imepangwa katika kundi C
Mara ya mwisho mashindano haya yalifanyika 2017 nchini Gabon ambapo Cameroon walifanikiwa kuchukua kombe baada ya kuifunga Egypt kwa magoli 2 -1 katika mechi ya fainali
Je nchi gani unaipa nafasi ya kuchukua kombe hilo?
Nini matumaini ya Tanzania kwenye mashindano hayo?
Tutakuwa tunatumia mada hii kuhabarishana tukielekea kwenye ufunguzi wa mashindano hayo, yanayojiri wakati wa mechi, matokeo na matukio yote yanayohusiana na mashindano hayo
UPDATES
Ratiba 21/06/2019: Egypt vs Zimbabwe
Matokeo: Egypt 1 - 0 Zimbabwe
Ratiba 22/06/2019: Congo vs Uganda | Nigeria vs Burundi | Guinea vs Madagascar
Matokeo: Congo 0 - 2 Uganda
Nigeria 1 - 0 Burundi
Guinea 2 - 2 Madagascar
Ratiba 23/06/2019: Morocco vs Namibia | Tanzania vs Senegal | Kenya vs Algeria
Matokeo: Morocco 1 - 0 Namibia | Tanzania 0 - 2 Senegal | Kenya 0 - 2 Algeria
Ratiba 24/06/2019: Ivory Coast vs South Africa | Tunisia vs Angola | Mali vs Mauritania
Matokeo: Ivory Coast 1 - 0 South Africa | Tunisia 1 - 1 Angola | Mali 4 - 1 Mauritania
Ratiba 25/06/2019: Cameroon vs Guinea Bissau | Ghana vs Benin
Matokeo: Cameroon 2 - 0 Guinea Bissau | Ghana 2 - 2 Benin
Ratiba 26/06/2019: Nigeria vs Guinea | Uganda vs Zimbabwe | Egypt vs Congo
Matokeo: Nigeria 1 - 0 Guinea | Uganda 1 - 1 Zimbabwe | Egypt 2 - 0 Congo
Ratiba 27/06/2019: Madagascar vs Burundi | Senegal vs Algeria | Tanzania vs Kenya
Matokeo: Madagascar 1 - 0 Burundi | Senegal 0 - 1 Algeria | Tanzania 2 - 3 Kenya
Hahaha Mimi bado natafakari kwa Senegal
Hawana cha kujifunza kwa sababu wao kila kitu ni mazoeaCCM kuna jambo mmejifunza??
Baada ya kupata burudani kabambe kutoka kwa Harambee Stars hapo jana usiku, nililala usingizi mzigo fofofoooo hatimaye nikachelewa kuamka kwenda safari yangu niliyoipanga.
Ahsanteni Harambee Stars
Halafu mwana siku yuko press hakuwa na tabasamu ni kama kuna msongo wa mawazo ni kama kuna kitu kinamsumbua. naunganisha dot tu ila sina uhakika. JWTZ ile press meeting kuna watu wamepigwa madongo na watatajwa isije kuwa ndio anatafutiwa njia ya kutolewa kafara katika wale waliomba watu wao wapate kazi. maana ile press ni kama wanaambiwa hatujali vyeo vyao wala nini na hii haijawahi kutokea katika history ya jeshi, kuna watu wameingia 18. just my thoughts nothing more
Noma sana mkuuFantastic
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Umeamini kwamba mlibahatishaNdipo tunapopataka kumbuka hata sisi hatujabahatisha kufuzu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yabidi best mi nishaanza kujiweka kwa Cameroon na Benin. [emoji3][emoji3][emoji3]
kumradhi ,i mean mechi ya Senegalhongera sana harambee stars Kwa ushindi poleni taifa stars sijategemea mlicheza mpira ya kiwango cha juu kuliko mechi ya algeria. what a very tyt east African derby.