Siwezi kumudu gharama za uzalendo katika awamu hii.Nilijua unasapoti Taifa Stars
Leo nipo AlgeriaNitakuwa nashabikia timu zote zitakazocheza dhidi ya Taifa Stars.
Wewe tayari unajadiri mambo ya Cairo. Ila ujue ili mradi hakuna polisi ccm na tume ya ccm matokea yatakuwa halali. Lakini Nina wasiwasi pale Cairo ilani ya ccm haitatekelezeka.Chadema ni watu wanaokwenda na matukio hivyo tutegemee kabisa mjadala wa ubunge wa Tundu Lisu kufungwa leo.
Matokeo ya leo pale Cairo yanaweza kupelekea Chadema kuanza tena kuijadili kamati ya akina Haji Manara na kumsahau kipenzi chao Tundu Lisu.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Mtafungwa mabao saba wewe na Baba ako ila Si Taifa Stars.Nimeshabet tutafungwa 7 na Algeria, tukifungwa tano ntasikitika sana.
Mi nishabeti na sio mara ya kwanza ni tokea mechi na Senegal najua tutafungwa tu. Kipind cha kwanza 4 cha pii 3Mtafungwa mabao saba wewe na Baba ako ila Si Taifa Stars.
Matokeo ya Misri yanasubiriwa kwa hamu pale Lumumba kwani ndio wenye ccm stars.Ufipa wao wanaendelea na mjadala wa kamanda wao.Maendeleo yana chamaChadema ni watu wanaokwenda na matukio hivyo tutegemee kabisa mjadala wa ubunge wa Tundu Lisu kufungwa leo.
Matokeo ya leo pale Cairo yanaweza kupelekea Chadema kuanza tena kuijadili kamati ya akina Haji Manara na kumsahau kipenzi chao Tundu Lisu.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Ulivyokuwa unaandika huu upupu ulikalia kitukigumu kilichosimama huku umpepakatwa na kupapaswaChadema ni watu wanaokwenda na matukio hivyo tutegemee kabisa mjadala wa ubunge wa Tundu Lisu kufungwa leo.
Matokeo ya leo pale Cairo yanaweza kupelekea Chadema kuanza tena kuijadili kamati ya akina Haji Manara na kumsahau kipenzi chao Tundu Lisu.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Chadema ni watu wanaokwenda na matukio hivyo tutegemee kabisa mjadala wa ubunge wa Tundu Lisu kufungwa leo.
Matokeo ya leo pale Cairo yanaweza kupelekea Chadema kuanza tena kuijadili kamati ya akina Haji Manara na kumsahau kipenzi chao Tundu Lisu.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Ya Cairo na LISSU yote tutaunganisha pamoja sababu yote ni utekelezaji wa ilani ya CCMChadema ni watu wanaokwenda na matukio hivyo tutegemee kabisa mjadala wa ubunge wa Tundu Lisu kufungwa leo.
Matokeo ya leo pale Cairo yanaweza kupelekea Chadema kuanza tena kuijadili kamati ya akina Haji Manara na kumsahau kipenzi chao Tundu Lisu.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!