Ingawa mpira una maajabu yake, Iakini Algeria wana kikosi bora na Imara kuliko Timu zote, Hili kombe wanachukua .Huu ni utabili tu kama tabili zingine
Msinione mchawi
Uganda anabeba kopo hilo mtakuja kuniambiaAlgeria anachukua hii
Lile sio kopo mkuu ni bonge la kikombe ata kwa muonekano wake tu.Uganda anabeba kopo hilo mtakuja kuniambia
Senegal anapigwa cha mbwa mwizi na Uganda leo!!!Kwenye timu za warabu tatu zitaingia nusu fainali ila fainali ni senegal na moja kati ya timu za kiarabu.
Duh kali ya mwaka nimekutana nayo kati kati ya mwakaUganda anabeba kopo hilo mtakuja kuniambia
Benin vs Morocco ni saa ngapi mkuu?Senegal watakuwa wamepiga Afrika mashariki Baada ya Tz Ke na sasa Ug anaye bisha tukutane saa tano
Ni muda huu mkuuBenin vs Morocco ni saa ngapi mkuu?
Wapo uwanjani dakika ya 14 bila bilaBenin vs Morocco ni saa ngapi mkuu?
Ni muda huu mkuu
Daaa, ngoja niwahi bandani aiseeWapo uwanjani dakika ya 14 bila bila
Nimemuua senegal kwa hela nyingi sanaDaaa, ngoja niwahi bandani aisee
Duuh una roho nyepesi sana Mkuu. 😃Nimemuua senegal kwa hela nyingi sana
Dua zako mkuu [emoji28][emoji28]
Azam TV wanaonyesha usikimbilie mabandani mkuuDaaa, ngoja niwahi bandani aisee
Tuone nani atamchana muhindiNimemuua senegal kwa hela nyingi sana
Dua zako mkuu [emoji28][emoji28]
Ungejua kama sina flat screen ndani, usingesema hivyo mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Azam TV wanaonyesha usikimbilie mabandani mkuu