2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

THE GAME unataka kuniaminisha kwamba akina iwobi, victor mosses,ahmed mussa, mikel na wenzao hamna kitu kabisa
emoji16.png
emoji16.png

[/QUO
Mkuu hao wo
THE GAME unataka kuniaminisha kwamba akina iwobi, victor mosses,ahmed mussa, mikel na wenzao hamna kitu kabisa[emoji16][emoji16]
Hao wote ni wachezaji wazuri, walichokosa ni timu nzuri, hakuna timu work,!
Muunganiko wa timu haupo kabisa
 
"kila nikitaka kuiombea taifa stars "

kuna sauti hinanijia inasema "usimjaribu bwana mungu wako"

group stage I think kenya can get opportunity
 
Najua wengi mmekata tamaa baada ya kupokea kichapo mujarabu kutoka kwa Senegal, Ila Huwezi amini hii timu itavuka hatua hii ya makundi.

Raundi inayofata Itakuwa Kama ifuatavyo:
Tanzania itashinda 2-0 mechi ya kenya na kuwa na point 3 .

Algeria atamfunga senegal 3-0 na kufikisha point 6

Msimamo utakuwa

1. Algeria 6
2. Senegal 3
3.Tanzania 3
4. Kenya 0


Raundi ya mwisho

Tanzania atadraw bila kufungana na Algera na kufikisha point 4

Kenya atadraw 1-1 na Senegal na kufikisha point 1

Msimamo wa mwisho utakuwa

1.Algeria point 7 goli difference 5
2. Tanzania point 4 goli difference 0
3. Senegal point 4 goli difference -1
4. Kenya point 1 goli difference-4

Hivyo Tanzania itaipita senegal kwa tofauti ya ma goli ya kufunga na kufungwa.


Najua wengi mtabeza lakini mwisho wa siku mtanitafuta ili niwatabirieni mambo yenu yajayo
Naunga mkono hoja , na kwa taarifa yako Makonda kishatumwa na mkuu kukamilisha mchakato
 
Write your reply...ungesema tunapita Kama best looser Na point 3 za kumfunga Kenya kidogo ningekulewa Lakini sio kwa kumpiku algeria
 
Taifa Stars inakatisha tamaa sana; inafanya hata timu za hovyo hovyo kama Arsenal nazo zionekane kuwa ni nzuri.
 
Ili usipate heart attack shabikia hizi teams, Algeria, Morroco, Egypt au Tunisia 😁😁😁


Utabiri wangu hapo Morroco na Mafarao wanakutana final,,,Morroco bingwa 2019
 
View attachment 1130345

View attachment 1130346

Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika inatazamiwa kuanza kutimua vumbi ijumaa tarehe 21/06/2019 kwa mechi kati ya wenyeji Egypt dhidi ya Zimbabwe

Michuano hiyo itahusisha mataifa 24 ambayo yamegawanywa katika makundi 6, kila kundi likiwa na timu 4

Tanzania imefanikiwa kufuzu kwenye mashindano hayo kwa mara ya pili katika historia yake, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1980 na imepangwa katika kundi C

Mara ya mwisho mashindano haya yalifanyika 2017 nchini Gabon ambapo Cameroon walifanikiwa kuchukua kombe baada ya kuifunga Egypt kwa magoli 2 -1 katika mechi ya fainali

Je nchi gani unaipa nafasi ya kuchukua kombe hilo?

Nini matumaini ya Tanzania kwenye mashindano hayo?

Tutakuwa tunatumia mada hii kuhabarishana tukielekea kwenye ufunguzi wa mashindano hayo, yanayojiri wakati wa mechi, matokeo na matukio yote yanayohusiana na mashindano hayo

UPDATES

Ratiba 21/06/2019: Egypt vs Zimbabwe

Matokeo: Egypt 1 - 0 Zimbabwe

Ratiba 22/06/2019: Congo vs Uganda | Nigeria vs Burundi | Guinea vs Madagascar

Matokeo: Congo 0 - 2 Uganda

Nigeria 1 - 0 Burundi

Guinea 2 - 2 Madagascar

Ratiba 23/06/2019: Morocco vs Namibia | Tanzania vs Senegal | Kenya vs Algeria

Matokeo: Morocco 1 - 0 Namibia | Tanzania 0 - 2 Senegal | Kenya 0 - 2 Algeria

Ratiba 24/06/2019: Ivory Coast vs South Africa | Tunisia vs Angola | Mali vs Mauritania

Matokeo: Ivory Coast 1 - 0 South Africa | Tunisia 1 - 1 Angola | Mali 4 - 1 Mauritania

Ratiba 25/06/2019: Cameroon vs Guinea Bissau | Ghana vs Benin

Matokeo: Cameroon 2 - 0 Guinea Bissau
Taifa Stars yenyewe inayocheza kiwango cha chini hata kushindwa na Arsenal unatagemea kweli ishinde?
 
Back
Top Bottom