Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nahisi umewasahau Burundi hapo[emoji1787][emoji1787]Fainal zitaingia Tz, Uganda, Kenya na DRC...Ndukiiiiiii
THE GAME unataka kuniaminisha kwamba akina iwobi, victor mosses,ahmed mussa, mikel na wenzao hamna kitu kabisa![]()
![]()
[/QUO
Mkuu hao wo
Hao wote ni wachezaji wazuri, walichokosa ni timu nzuri, hakuna timu work,!THE GAME unataka kuniaminisha kwamba akina iwobi, victor mosses,ahmed mussa, mikel na wenzao hamna kitu kabisa[emoji16][emoji16]
noma kweli[emoji848]Hao wote ni wachezaji wazuri, walichokosa ni timu nzuri, hakuna timu work,!
Muunganiko wa timu haupo kabisa
Sawa Mkuu! Tuombeane Uzima tutarudi hapa kupongezana au kuchekanaMechi ya jana tulifungwa sanabu ya upangaji mmbovu wa kikosi ila mechi zijazo tutafanikisha
"kila nikitaka kuiombea taifa stars "
kuna sauti hinanijia inasema "usimjaribu bwana mungu wako"
group stage I think kenya can get opportunity
Naunga mkono hoja , na kwa taarifa yako Makonda kishatumwa na mkuu kukamilisha mchakatoNajua wengi mmekata tamaa baada ya kupokea kichapo mujarabu kutoka kwa Senegal, Ila Huwezi amini hii timu itavuka hatua hii ya makundi.
Raundi inayofata Itakuwa Kama ifuatavyo:
Tanzania itashinda 2-0 mechi ya kenya na kuwa na point 3 .
Algeria atamfunga senegal 3-0 na kufikisha point 6
Msimamo utakuwa
1. Algeria 6
2. Senegal 3
3.Tanzania 3
4. Kenya 0
Raundi ya mwisho
Tanzania atadraw bila kufungana na Algera na kufikisha point 4
Kenya atadraw 1-1 na Senegal na kufikisha point 1
Msimamo wa mwisho utakuwa
1.Algeria point 7 goli difference 5
2. Tanzania point 4 goli difference 0
3. Senegal point 4 goli difference -1
4. Kenya point 1 goli difference-4
Hivyo Tanzania itaipita senegal kwa tofauti ya ma goli ya kufunga na kufungwa.
Najua wengi mtabeza lakini mwisho wa siku mtanitafuta ili niwatabirieni mambo yenu yajayo
Naunga mkono hoja , na kwa taarifa yako Makonda kishatumwa na mkuu kukamilisha mchakato
Utabiri wako utadhani unatumia tunguli[emoji38][emoji38][emoji38]Na mimi natabiri
Mali
Senegal
Egypt
Tanzania [emoji3][emoji41]
Zitatinga nusu fainali
Taifa Stars inakatisha tamaa sana; inafanya timu kama Arsenal nayo ionekane kuwa ni nzuri.
Taifa Stars yenyewe inayocheza kiwango cha chini hata kushindwa na Arsenal unatagemea kweli ishinde?View attachment 1130345
View attachment 1130346
Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika inatazamiwa kuanza kutimua vumbi ijumaa tarehe 21/06/2019 kwa mechi kati ya wenyeji Egypt dhidi ya Zimbabwe
Michuano hiyo itahusisha mataifa 24 ambayo yamegawanywa katika makundi 6, kila kundi likiwa na timu 4
Tanzania imefanikiwa kufuzu kwenye mashindano hayo kwa mara ya pili katika historia yake, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1980 na imepangwa katika kundi C
Mara ya mwisho mashindano haya yalifanyika 2017 nchini Gabon ambapo Cameroon walifanikiwa kuchukua kombe baada ya kuifunga Egypt kwa magoli 2 -1 katika mechi ya fainali
Je nchi gani unaipa nafasi ya kuchukua kombe hilo?
Nini matumaini ya Tanzania kwenye mashindano hayo?
Tutakuwa tunatumia mada hii kuhabarishana tukielekea kwenye ufunguzi wa mashindano hayo, yanayojiri wakati wa mechi, matokeo na matukio yote yanayohusiana na mashindano hayo
UPDATES
Ratiba 21/06/2019: Egypt vs Zimbabwe
Matokeo: Egypt 1 - 0 Zimbabwe
Ratiba 22/06/2019: Congo vs Uganda | Nigeria vs Burundi | Guinea vs Madagascar
Matokeo: Congo 0 - 2 Uganda
Nigeria 1 - 0 Burundi
Guinea 2 - 2 Madagascar
Ratiba 23/06/2019: Morocco vs Namibia | Tanzania vs Senegal | Kenya vs Algeria
Matokeo: Morocco 1 - 0 Namibia | Tanzania 0 - 2 Senegal | Kenya 0 - 2 Algeria
Ratiba 24/06/2019: Ivory Coast vs South Africa | Tunisia vs Angola | Mali vs Mauritania
Matokeo: Ivory Coast 1 - 0 South Africa | Tunisia 1 - 1 Angola | Mali 4 - 1 Mauritania
Ratiba 25/06/2019: Cameroon vs Guinea Bissau | Ghana vs Benin
Matokeo: Cameroon 2 - 0 Guinea Bissau