2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Mechi hii inavutia hata kuiangalia

Subirini mechi ya kesho ya saa 5usiku mtanambia ni kipofu mmoja anayejisifu asijijue kuwa ni kipofu akimuongoza kipofu mwrnzake

Mwisho wa siku yoote yanatoka(wanatumbukia mtaroni)
 
Acha bwana Billiat ni moto. Zahera team yake inacheza usiku saa tano. Nahisi leo kina Zahera DRC ndo wanaaga mashindano
Zahera ana mchezaji wake Zimbabwe anaitwa kamusoko ila Yanga wameachana nae.
Ndio maana nafanya utani Zimbabwe ni Zahera fc
 
Back
Top Bottom