Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
Kipa alikua bussy ku rotate tako la bwana yule wa kolomije
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww na vibaraka wakoWapi wanafundishwa adabu CCM stars ama?
hiv adhabu ya kumdanganya mkubwa ni nn?? "Mimi nikienda tutashinda" alisikika mlevi Mmoja wa madaraka wakati anapita dirishani kwanguBashite ataambia nini watu
Mimi ni kibaraka wa MunguWw na vibaraka wako
Wanafananisha uzalendo na vitu vya ovyo!!SAS boss anza kusoma koment kutoka chini kwenda juu zen utapata ukwel wa ulichokua unakiamin vs uhalisia
Algeria wameifunga Senegal 1 - 0 na hivyo kuifanya Taifa stars ambayo itaifunga Harambee Stars ya Kenya muda mfupi ujao kuwa katika nafasi nzuri ya kusonga mbele.
Nitarudi baadae kuweka msimamo wa kundi letu.
Hakika Cairo kumenoga.........Amunike hoyeee!
Maendeleo hayana vyama!
Hapana hayuko sahihi kabisa sababu huwezi changanya mpira na siasa...but not everyone is after politics... Wengine tunashabikia coz ni timu yetu ya taifa hayo mengine hatujui...MTU unachukizwa na magoli ya msuva na samatta really??? Kuna watu wa ajabu sana dunia hii...Africa>politics kuna shida kubwa hapa..Ww unaona ni sawa kusema timu inatimza ilan ya ccm
Hakuna mtu apendae kibovu...Mimi kwanzia leo sio mtanzania
Huyo bwana yuko sahihi, sema huko Misri hawakumuweka mchakachuajiNikiwa kama mtanzania mzalendo harisi nimefurahi sanaa kipigo cha 3-2 tulicho kipata kutoka kenya... Maana team yetu ya taifa inatumika kama ngazi kisiasa...
Kuna bwana mmoja ambaye hajielewi alisikika akisema watashinda kama wanavyo shinda chaguzi za CCM kwakua taifa stars ni CCM... Nikiwa kama mzalendo hiyo kauli sikuipenda...
Na kingine yule bwana kujinasibu kwamba yeye akienda basi taifa stars itashinda yeye ni nani kwenye soccer...
Tukumbuke kua soccer haihitaji janja janja mpira ni mchezo wa wazi unao hitaji ujuzi.. kwakweli magoal ya msuva na samatta yaliniuma sanaa na kunisononesha moyo...
Mpira ni moja kati ya michezo inayo kutanisha watu na kujenga umoja na udugu ndio maana sisi watu wa mpira tunapinga ubaguzi wa aina yoyote...
TAIFA STARS NI YA WATANZANIA WOTE NA SIO YA CCM PEKEE NDIO MAANA MNAOMBA MICHANGO KWETU SISI WANANCHI...
yule bwana ni kweli hajielewi
Kenya vibonde lazima wafungwe 3 - 0!