Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaahh, nimepitwa uhondo nilidhani ni mechi za hovyo sijaenda kibandaniHahahaha Carolus Andrea nategemea kumuona akicheza Serie A ama EPL msimu utakapoanza [emoji122][emoji122][emoji122]
Umeona eeeh. Yaani hawaogopi jina.Uganda sio level yetu kabisa kisoka.. Wanacheza kwa kujiamini, Mipango.
Madagascar hawachezi mpira wa kuvutia kama timu na katika mechi zao zote wamezidiwa possession ila wana watu wana uwezo binafsi hawachezei nafasi kabisa.Daaaahh, nimepitwa uhondo nilidhani ni mechi za hovyo sijaenda kibandani
Endelea kutupa updates mkuu, mimi nipo mbali na kibanda hapaTimu yangu inataka kuwaaibisha mafirauni
Zimbabwe 0-2 DRCEndelea kutupa updates mkuu, mimi nipo mbali na kibanda hapa
Zahera leo katia Vumbi eeZimbabwe 0-2 DRC
Uganda 0-1 Egypt
Dk ya 41
Aisee leo Congo wanakipiga si mchezo
Naangalia game zote kama bata naangaika kweli
Salah kawapiga la pili tayari HT sasaZahera leo katia Vumbi ee
Uganda wakomae watoe hata drawal bana
AiseeSalah kawapiga la pili tayari HT sasa
Aisee
Hata hivyo kwa point 4 hizi tunafuzu, maama Zahera atakuwa na point 3 tu huku Zimbabwe ikibaki na point 1.