mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Wameenda Zanzibar wakaachukua top level players bila kumsahau KessyZuberi Katwila safari hii Mtibwa hawatamvumilia mpaka dakika za mwisho kama ilivyokuwa msimu ulioisha! Pamoja na kuboronga Mtibwa hawajafanya usajili wa maana!
Anaunganishaje timu? Bila shaka hujui football. Simba haijaondoa wachezaji kiasi cha kubadilisha kikosi na chemistry ya team. LABDA KULE UPANDE WA MANYANI FCYule wa Simba Sven
Akishindwa unganisha timu ikaleta +ve impact hawata mvumulia
So far nadhani wamemwongeza mkataba mfupi
Kweli mimi sijui mpira mkuu wwe unaejuaAnaunganishaje timu? Bila shaka hujui football. Simba haijaondoa wachezaji kiasi cha kubadilisha kikosi na chemistry ya team. LABDA KULE UPANDE WA MANYANI FC
Yapili mbali, mechi tano tu, wanakula Kichwa.