mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Msimu uliopita tuliona kwenye mechi 2 za kwanza alience walimfukuza kocha
Mechi ya tatu mbao wakamfukuza kocha
Mechi ya 6 utopolo wakamtimua zahera
Mechi ya 7 simba wakamalzana na Ausem
Tupia utabiri wako tano wa kwanza kufungashiwa virago vpl msimu huu
Kwangu ni
Mbwana makata Dodoma fc
Mkwasa. Ruvu
Amri said. Mbeya city
Mgunda. Coastal u
Na yule wa yanga
Mechi ya tatu mbao wakamfukuza kocha
Mechi ya 6 utopolo wakamtimua zahera
Mechi ya 7 simba wakamalzana na Ausem
Tupia utabiri wako tano wa kwanza kufungashiwa virago vpl msimu huu
Kwangu ni
Mbwana makata Dodoma fc
Mkwasa. Ruvu
Amri said. Mbeya city
Mgunda. Coastal u
Na yule wa yanga