Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Camp Mulla 2013Kali ako juu. Kaligraph is now international. He could be the first Kenyan artist nominated for Bet, although I may be wrong.
Khaligraph will bring it, am sure 😶View attachment 1585326
Hoping either Nasty or Khali brings it home!!!!!
Ndio mmpigie kura za kutosha maana utashangaa mi mtz nimeshavote afu mkenya Bado sijui mkoje wakenyaKali ako juu. Kaligraph is now international. He could be the first Kenyan artist nominated for Bet, although I may be wrong.
Mimi huwa nipo nyuma kwa mambo haya. Tunavote kwa njia gani?Ndio mmpigie kura za kutosha maana utashangaa mi mtz nimeshavote afu mkenya Bado sijui mkoje wakenya
Saa ka wanachagua wenywe si wangemweka wanaemtaka...bila vote ni ujinga...Unfortunatley there will be no voting, winner to be picked by BET
Wewe ni muongo. Unatudanganya eti umeshamvotia kumbe ni uongo. Kumbavu sana wewe.Saa ka wanachagua wenywe si wangemweka wanaemtaka...bila vote ni ujinga...
[emoji38][emoji38][emoji38] Ndio kawaida yao hawa majirani, ujuaji ujuaji tu wa peni mbili na usanii.Wewe ni muongo. Unatudanganya eti umeshamvotia kumbe ni uongo. Kumbavu sana wewe.
Bro.... stop making a fool of yourselfSaa ka wanachagua wenywe si wangemweka wanaemtaka...bila vote ni ujinga...
Wewe ni mjinga tu.Ana kazi kubwa sana kuwapiku Nasty C na Ms Banks si mchezo wapo vzr sana
Jombaa, hapa tunazungumza kuhusu rap, hiphop, sio ngololoo. [emoji1]Kali asingejiweka karibu na wasanii wa bongo asingefika huko..
camp mulla sio wanaishi STATES ?Camp Mulla 2013
Kali anarap kwa kizungu. Wasanii wa bongo hawajui kizungu. Kali amecolabo wimbo moja tu na msanii wa bongo.Kali asingejiweka karibu na wasanii wa bongo asingefika huko..