Uchaguzi 2020 2020 Elections Chapter sasa imefungwa. Kazi ya ujenzi wa Taifa iendelee!

Uchaguzi 2020 2020 Elections Chapter sasa imefungwa. Kazi ya ujenzi wa Taifa iendelee!

Pulchra Animo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
3,718
Reaction score
3,465
2020 Elections Chapter sasa imefungwa. Kazi ya ujenzi wa utaifa iendelee!

December 9, 2020, taifa letu litasherehekea miaka 59 ya uhuru. Katika hicho kipindi cha miaka 59, waasisi wa taifa hili na viongozi waliofuatia, kwa wakati tofauti, wametoa mchango muhimu katika ujenzi wa taifa letu. Hakuna shaka kwamba, kama taifa, tumetoka mbali. Moja ya mafanikio makubwa yaliyopatikana ni kujengeka kwa jamii ya watu wamoja. Umoja wetu ndio umekuwa msingi imara wa taifa letu.

Pamoja na mafanikio yaliyopatikana, hatuna budi kukubali kwamba juhudi zetu za kujipatia uhuru wa kiuchumi (economic independence) zimekuwa very slow. Yapo mataifa kadhaa ambayo tulikuwa nayo kwenye club moja ya kiuchumi wakati wa miaka ya kwanza ya uhuru wetu, lakini leo yametuacha mbali sana. Moja ya sababu ya sisi kuendelea kubaki kwenye club ya nchi zisizo na uhuru wa kiuchumi huku wenzetu wakihamia club zenye uhuru wa kiuchumi ni utamaduni uliosheheni laidbackness and free rein. Viongozi wetu wengi hawakufanikiwa kupambana na huu utamaduni mbaya kwa nguvu kubwa na yenye uthubutu kama ile ambayo jemedari wetu JPM ameitumia baada ya kushika hatamu. Kwayo tumeshuhudia a huge disruption of that entrenched culture!

I can unapologetically argue that this country has been long overdue for the no nonsense leadership style of JPM. We need a leader who can not only deliver a tough love, but also do so with consistency and persistency. Tunataka kiongozi ambaye analipa swala la ujenzi wa taifa an undivided attention. Hatuna muda wa kupoteza tukibembelezana hapa na pale. Kazi ya kujenga taifa letu lazima tuifanye kama vile hatuna siku nyingine inayokuja. Hakuna mtu wa nje atakayekuja kutujengea taifa letu; we’re on our own. Tulibembelezana kwa miaka mingi ya uhuru wetu na kufanya hivyo kumetugharimu. That’s enough!

Mtu anayeijua vizuri nchi yetu anatambua kuwa urefu wa planning horizon ya Mtanzania wa kawaida anayeishi mjini, ni just several hours. Akiamka, hajui hela ya chakula cha jioni itapatikana wapi. Mara nyingi anaishi kwa milo miwili au mmoja kwa siku. Pamoja na uhalisia huu, bado linajitokeza genge la wahuni fulani kupokea coaching na ushauri (kutoka kwa political mercenary) wa kuingiza watu barabarani kwa maandamano yasiyokuwa na mwisho. Wao, bila kutumia hata robo tu ya brains zao, wanaona wamepewa ushauri bora kabisa. Huhitaji kuwa brain surgeon au community safety expert kujua kwamba ni upuuzi mkubwa na hatari kumuingiza barabarani (kwa maandamano yasiyokuwa na mwisho) mtu ambaye hata food security yake ni karibu na zero. Hakuna shaka kwamba hayo maandano yasiyokuwa na mwisho ni recipe ya riots ambazo zitatengeneza mazingira mazuri kwa desperate people kufanya uporaji ili wapate milo yao ya siku. Kwa kutumia mfano mwingine mwepesi, tuliosoma boarding schools tunajua kwamba hakuna mgomo unaohusisha kugoma kula unaoweza kudumu kwa zaidi ya siku moja na ukaisha salama. Lazima huishia kwenye riots. Hata kama hayo maandano yangehusisha wale ambao wana uhakika wa chakula, kuingia kwao barabarani kwa maandamano yasiyokuwa na mwisho ni kusababisha disruption ya shughuli za watu wanaojitafutia milo yao ya kila siku.

Logically, kama taifa liliona haikuwa busara kufanya disruption ya shughuli za watu kwa kufanya lockdown wakati wa pandemic, vile vile haiwezi kuwa busara kuruhusu disruption ya shughuli za watu kwa maandamano yasiyokuwa na mwisho. Bob Amsterdam alitoa huo ushauri kwa makusudi. Destabilizing the country has all along been his key strategy. We must unequivocally say no to that nonsense!

By the way, hata wazungu hawakufanya huu upuuzi wakati wakiwa kwenye stage kama yetu ya ujenzi wa nchi zao. Kifikra, tunafanya kosa kwa kuziangalia nchi zilizoendelea with a focus only on their current states. Hatujihangaishi kujua zimetoka wapi na zimepitia maisha gani. Kuna wakati wao waliona hata manpower iliyokuwepo ilikuwa haitoshi, wakaamua kuchukua watumwa kutoka Africa.

JPM should keep up the good and continue to deliver the tough love that we need. We shouldn’t be treated as a spoiled child. I hope we get another no nonsense leader when JPM completes his second and final term of his presidency! There’s no need to give in to pressure to entertain destructive protests.
 
Ya Mungu ni mengi.

Ngoja nicheki hii movie.
Chatos.Land.1972.jpg
 
Tofauti ya JPM na wale wa upinzani, JPM preaches hop. Maneno kama Nchi hii ni tajiri, fanya kazi kwa bidii, nchi hii itakuwa kama Ulaya ...nk. viongozi wengine wana hubiri habari mbaya na za kumvunja moyo mwananchi, wanasahau wajibu wao kama viongozi ni kumuonyesha na kumuelemisha wananchi njia ya kuboresha maisha yake.
 
Tofauti ya JPM na wale wa upinzani, JPM preachers hop. Maneno kama Nchi hii ni tajiri, fanya kazi kwa bidii, nchi hii itakuwa kama Ulaya ...nk. viongozi wengine wana hubiri habari mbaya na za kumvunja moyo mwananchi, wanasahau wajibu wao kama viongozi ni kumuonyesha na kumuelemisha wananchi njia ya kuboresha maisha yake.

Sina hata punje ya shaka kwamba JPM ndiye motivational speaker nambari wani na jemedari hodari katika vita vyetu vya kutafuta economic independence. Anastahili kuungwa mkono na kila mwenye mapenzi ya dhati na nchi hii.

Taifa Kwanza. Our nation is our cause and that’s a cause greater than ourselves!
 
Sina hata punje ya shaka kwamba JPM ndiye motivational speaker nambari wani na jemedari hodari katika vita vyetu vya kutafuta economic independence. Anastahili kuungwa mkono na kila mwenye mapenzi ya dhati na nchi hii.

Taifa Kwanza. Our nation is our cause and that’s a cause greater than ourselves!
Nakubaliana nawe 100%.
 
CCM chinibya Magufuki imeiba kura, imezima mitandao, imezuia wapinzani kufanya mikutano, imeua watu.

Hiyo ndiyo unaita right leadership?
 
CCM chinibya Magufuki imeiba kura, imezima mitandao, imezuia wapinzani kufanya mikutano, imeua watu.

Hiyo ndiyo unaita right leadership?

Well, hiyo ni combination ya politically convenient allegations na tendency to accentuate the negatives!
 
Well, hiyo ni combination ya politically convenient allegations na tendency to accentuate the negatives!
Politically convenient allegations ni zipi?

Mbona hujqzitqja? Mbina hujazikanusha?

Negatives zilizokuwa accentuated ni zipi?

Ukisema zimekuwa accentuated, maana yake umekubali zipo.

Zipo zipi? Wapi? Kwa kiwango gani?

Wapi hazipo na zimekuwa accentuated tu?
 
Tofauti ya JPM na wale wa upinzani, JPM preachers hop. Maneno kama Nchi hii ni tajiri, fanya kazi kwa bidii, nchi hii itakuwa kama Ulaya ...nk. viongozi wengine wana hubiri habari mbaya na za kumvunja moyo mwananchi, wanasahau wajibu wao kama viongozi ni kumuonyesha na kumuelemisha wananchi njia ya kuboresha maisha yake.
Rudi shule kajifundishe kuandika Kingereza..

'JPM preachers hop' hapa umemaanisha nini?..ulitakiwa uandike ..'JPM preaches hope'

Anyway,huwezi kumuelimisha na kumboresha mwananchi kwa njia, ya uongo,kwa kumdanganya

Kama mwananchi amejawa na huzuni na majonzi Katika maisha take hatoweza kuchapa kazi,kuleta maendeleo katika maisha yake na TAIFA kwa jumla

Unawambia mwananchi Nchi yetu tajiri lakini mlo mmoja wa kula na familia yake unamshinda.. ridiculous
 
Politically convenient allegations ni zipi?

Mbona hujqzitqja? Mbina hujazikanusha?

Negatives zilizokuwa accentuated ni zipi?

Ukisema zimekuwa accentuated, maana yake umekubali zipo.

Zipo zipi? Wapi? Kwa kiwango gani?

Wapi hazipo na zimekuwa accentuated tu?

Kwamba wameiba kura na kuua: ni politically convenient allegations!

Kwamba wamezima mitandao na kuzuia mikutano: is a tendency to accentuate the negatives, kwa sababu yapo mambo mengi yenye strategic and historic significance yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano, ambayo katika hali ya kawaida hayawezi kuwa eclipsed na hizi negative actions, tena zilizochukuliwa kwa maslahi mapana ya taifa!
 
Rudi shule kajifundishe kuandika Kingereza..

'JPM preachers hop' hapa umemaanisha nini?..ulitakiwa uandike ..'JPM preaches hope'

Anyway,huwezi kumuelimisha na kumboresha mwananchi kwa njia, ya uongo,kwa kumdanganya

Kama mwananchi amejawa na huzuni na majonzi Katika maisha take hatoweza kuchapa kazi,kuleta maendeleo katika maisha yake na TAIFA kwa jumla

Unawambia mwananchi Nchi yetu tajiri lakini mlo mmoja wa kula na familia yake unamshinda.. ridiculous

Yani umeandika ubwabwa wote huu kisa herufi moja imeongezeka kwenye nene? Oh Dear Lord Have Mercy.

By the way, huyo anayeonewa ni nani ikiwa millions of Tanzanians are supporting their President and the Gov in an effort to rebuild their economy. How many dollar millions have been created in past five years, mobile money transaction has just passed Sh.11 trillion per month.Tanzania exports more today that it did five years ago. Kama hujitumi na unachaguwa kazi obviously utaona unaonewa. But those are the people who needed the message of hop rather than being demonised by some politicians telling them you poor and you can't succeed unless I'm your president.
 
Yani umeandika ubwabwa wote huu kisa herufi moja imeongezeka kwenye nene? Oh Dear Lord Have Mercy.

By the way, huyo anayeonewa ni nani ikiwa millions of Tanzanians are supporting their President and the Gov in an effort to rebuild their economy. How many dollar millions have been created in past five years, mobile money transaction has just passed Sh.11 trillion per month.Tanzania exports more today that it did five years ago. Kama hujitumi na unachaguwa kazi obviously utaona unaonewa. But those are the people who needed the message of hop rather than being demonised by some politicians telling them you poor and you can't succeed unless I'm your president.
BIGOT,mamilioni gani ya Watanzania wanae m-support Magufuli?

Mkuu,bila Shaka wewe ndizo wale wanaonufaika na huu utawala..

Umeshawahi kuingia mitaani na ukasikia nini RAIA wanaongea, vipi raia wanaishi?

Kiuchumi Magufuli amefeli,sekta binafisi zinakufa,wananchi hawana kazi,maisha yamekuwa magumu,wafanya kazi hawaongezwi mishahara,KAZI hakuna..and so on and so forth
 
Walio pata kura za udanganyifu katika uchaguzi mkuu huu, Mwenyezi Mungu wabariki ugonjwa wa cancer.
Albadiri za wapiga kura zitawatafuna mno hata bunge linaenda kuwa bunge la ajabu lenye vioja haijapata kuonekana Duniani
 
BIGOT,mamilioni gani ya Watanzania wanae m-support Magufuli?

Mkuu,bila Shaka wewe ndizo wale wanaonufaika na huu utawala..

Umeshawahi kuingia mitaani na ukasikia nini RAIA wanaongea, vipi raia wanaishi?

Kiuchumi Magufuli amefeli,sekta binafisi zinakufa,wananchi hawana kazi,maisha yamekuwa magumu,wafanya kazi hawaongezwi mishahara,KAZI hakuna..and so on and so forth
Deni la Taifa limekuwa juu mno kwenye utawala huu hata thamani ya shilling kwa dola imezidi kushuka zaidi hakuna unafuu wowote kwenye utawala huu kiuchumi
 
Kwamba wameiba kura na kuua: ni politically convenient allegations!

Kwamba wamezima mitandao na kuzuia mikutano: is a tendency to accentuate the negatives, kwa sababu yapo mambo mengi yenye strategic and historic significance yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano, ambayo katika hali ya kawaida hayawezi kuwa eclipsed na hizi negative actions, tena zilizochukuliwa kwa maslahi mapana ya taifa!
Maendeleo yapi yamefanywa? Flyover zote ni mwendelezo wa alivyoacha Kikwete, SGR bwawa la umeme ununuzi wa Ndege kuna ufisadi wa kutisha hakuna maendeleo yasiyo na wizi dosari mapungufu pindi yakifanywa na CCM, kwani maendeleo ni Hisani za CCM? ni pesa binafsi tokea mfukoni mwa CCM na mtukufu? Maendeleo si pesa za walipa kodi? Kujidai unaleta maendeleo wakati kuna ufisadi ndani yake ni Aibu kubwa kwa utawala huu unaojidai eti unapambana na ufisadi kinafiki
 
BIGOT,mamilioni gani ya Watanzania wanae m-support Magufuli?

Mkuu,bila Shaka wewe ndizo wale wanaonufaika na huu utawala..

Umeshawahi kuingia mitaani na ukasikia nini RAIA wanaongea, vipi raia wanaishi?

Kiuchumi Magufuli amefeli,sekta binafisi zinakufa,wananchi hawana kazi,maisha yamekuwa magumu,wafanya kazi hawaongezwi mishahara,KAZI hakuna..and so on and so forth
Vyama vya wafanyabishara wakubwa kwa wadogo, wote wametoka hadharani na kukubaliana na serikali ya awamu 5. Vyama vya wafanyakazi wame support the Gov. Wewe unakuja na kusema sekta binafsi zina kufa, tulete basi mifano halali kama "sekta" gani imekufa na kwasababu ya sera za serikali huu ya sasa?

Biashara kuanzishawa na kufa ni jambo la kawaida dunia nzima, there is no guarantees that everyone will succeed to whatever they choose they do.
 
Back
Top Bottom