Uchaguzi 2020 2020 Elections Chapter sasa imefungwa. Kazi ya ujenzi wa Taifa iendelee!

Uchaguzi 2020 2020 Elections Chapter sasa imefungwa. Kazi ya ujenzi wa Taifa iendelee!

Rudi shule kajifundishe kuandika Kingereza..
'JPM preachers hop' hapa umemaanisha nini?..ulitakiwa uandike ..'JPM preaches hope'

Anyway,huwezi kumuelimisha na kumboresha mwananchi kwa njia, ya uongo,kwa kumdanganya

Kama mwananchi amejawa na huzuni na majonzi Katika maisha take hatoweza kuchapa kazi,kuleta maendeleo katika maisha yake na TAIFA kwa jumla

Unawambia mwananchi Nchi yetu tajiri lakini mlo mmoja wa kula na familia yake unamshinda.. ridiculous
Watu wanasononeka saa 24 kila siku hawana Amani wameporwa haki za kuchagua kwa njia haramu za kishetani, NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm hawana huruma na wapiga kura wameamuaa kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi bila kumuogopa mungu
 
Vyama vya wafanyabishara wakubwa kwa wadogo, wote wametoka hadharani na kukubaliana na serikali ya awamu 5. Vyama vya wafanyakazi wame support the Gov. Wewe unakuja na kusema sekta binafsi zina kufa, tulete basi mifano halali kama "sekta" gani imekufa na kwasababu ya sera za serikali huu ya sasa?

Biashara kuanzishawa na kufa ni jambo la kawaida dunia nzima, there is no guarantees that everyone will succeed to whatever they choose they do.
Tanzania kuna mapungufu makubwa ya Uongozi kumbuka Tanzania ni Nchi yenye rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani , lakini CCM hawataki maendeleo badala yake wanachukua pesa za viwanda za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso manyanyaso kwa wafanyabiashara wakubwa na wapinzani kwa ujumla, pesa nyingi inapotelea kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa badala ya maendeleo
 
Kuishangilia HARAMU hakuifanyi kuwa HALALI! Ni swala la muda tu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa inayotumika kuihujumu kuidhoofisha chadema ni pesa nyingi mno ni pesa ambazo kama zingeelekezwa kwenye maendeleo mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa mengi Duniani na pengine ingekuwa na kura ya veto
 
Hupati uteuzi ng’ooo kwa kuandika hii story ndefu iliyosheheni ushetani mtupu, kumbuka hata wasaidizi wa mtukufu hawana mda wa kusoma maneno mengi kama hayoa
 
Wewe ni mnufaika wa ufedhuri udhalimu blackmail za CCM kwa wapinzani siyo?
Upinzani wa Tanzania unahitaji mageuzi makubwa sana kwaajiji ya ufanisi wake. Huwezi kuwa na watu wanaoweka maslahi yao binafsi mbele ya maslahi ya taifa.
 
Vyama vya wafanyabishara wakubwa kwa wadogo, wote wametoka hadharani na kukubaliana na serikali ya awamu 5. Vyama vya wafanyakazi wame support the Gov. Wewe unakuja na kusema sekta binafsi zina kufa, tulete basi mifano halali kama "sekta" gani imekufa na kwasababu ya sera za serikali huu ya sasa?

Biashara kuanzishawa na kufa ni jambo la kawaida dunia nzima, there is no guarantees that everyone will succeed to whatever they choose they do.
Ukweli usiopingika,kila kitu Katika awamu hii kinafanywa Kwa kulazimishwa

Kila taasisi imefungwa midomo,kila taasisi inaogopa kusema ukweli

Media zote zimekuwa vikaragosi,wanaogopa kiripoti stori za kweli

Ile habari ya Lindi wananchi kuchoma moto vituo vya kupiga kura na gari za Polisi kuchomwa moto uliisoma.au kuisikia kwenye vyombo vya habari??

Mkuu,usidanhanye nafasi yako,unaishi kifungo cha nje Katika jela inayoitwa Tanzania..

Kweli Vyama vya wafanyakazi watasifia hii awamu wakati kwa miaka mitano wafanyakazi hawajalipwa mishahara!!? pathetic
 
Ukweli usiopingika,kila kitu Katika awamu hii kinafanywa Kwa kulazimishwa

Kila taasisi imefungwa midomo,kila taasisi inaogopa kusema ukweli

Media zote zimekuwa vikaragosi,wanaogopa kiripoti stori za kweli

Ile habari ya Lindi wananchi kuchoma moto vituo vya kupiga kura na gari za Polisi kuchomwa moto uliisoma.au kuisikia kwenye vyombo vya habari??

Mkuu,usidanhanye nafasi yako,unaishi kifungo cha nje Katika jela inayoitwa Tanzania..

Kweli Vyama vya wafanyakazi watasifia hii awamu wakati kwa miaka mitano wafanyakazi hawajalipwa mishahara!!? pathetic
Uhandishi wa habari unaongozwa na code of conduct, huwezi kujiandikia tu kinyume na taratibu. Umoja wa nchi ni muhimu kuliko mwandishi aliyekuwa corrupt anayeandikia vitu kuivuruga nchi. Huko Mtwara unauhakika walikuwa ni wananchi au vikundi vingine?
 
Hupati uteuzi ng’ooo kwa kuandika hii story ndefu iliyosheheni ushetani mtupu, kumbuka hata wasaidizi wa mtukufu hawana mda wa kusoma maneno mengi kama hayoa

Taifa Kwanza! Sihitaji uteuzi wowote; kazi niliyonayo inanitosha.
 
Maendeleo yapi yamefanywa? Flyover zote ni mwendelezo wa alivyoacha Kikwete, SGR bwawa la umeme ununuzi wa Ndege kuna ufisadi wa kutisha hakuna maendeleo yasiyo na wizi dosari mapungufu pindi yakifanywa na CCM, kwani maendeleo ni Hisani za CCM? ni pesa binafsi tokea mfukoni mwa CCM na mtukufu? Maendeleo si pesa za walipa kodi? Kujidai unaleta maendeleo wakati kuna ufisadi ndani yake ni Aibu kubwa kwa utawala huu unaojidai eti unapambana na ufisadi kinafiki

Politically convenient allegations are a wastage of time!

Hakuna aliyekuambia maendeleo ni hisani. This isn’t the first time we have paid taxes, but it’s the first time we have seen our taxes finance multiple large-scale strategic projects!
 
Uhandishi wa habari unaongozwa na code of conduct, huwezi kujiandikia tu kinyume na taratibu. Umoja wa nchi ni muhimu kuliko mwandishi aliyekuwa corrupt anayeandikia vitu kuivuruga nchi. Huko Mtwara unauhakika walikuwa ni wananchi au vikundi vingine?
Mmefungia waandishi wa habari,media za Tanzania zimeelekezwa nini niandike,nini kiongea,Je huo ushikamno wa Watanzania upo?

Mnaleta mfumo wa kikomunisti,kunyima Watu Uhuru wao,mnaleta mfumo wa mtu mmoja au kikundi cha Watu ndio kiwe na uwezo wa kutawala Wengine..

Huo mfumo ni mfumo wa matabaka,sio mfumo Watanzania tulio wengi tunautaka

Hivi Sasa Kuna tafauti kubwa kati ya maisha ya Wanasiasa na Mtanzania wa kawaida..

Nchi inaendeshwa na Sheria,Sheria ndio zinazoongoza nchi

kama kutatokea kuwa kuna mwandishi wa habari kapindisha habari,kasema uongozi nk

basi ashitakiwe kutokana na Sheria za Nchi solution sio kuvibana vyombo vya habari

We are living in the age of Information Technology(IT), Information is the key part of development
 
Mmefungia waandishi wa habari,media za Tanzania zimeelekezwa nini niandike,nini kiongea,Je huo ushikamno wa Watanzania upo?

Mnaleta mfumo wa kikomunisti,kunyima Watu Uhuru wao,mnaleta mfumo wa mtu mmoja au kikundi cha Watu ndio kiwe na uwezo wa kutawala Wengine..

Huo mfumo ni mfumo wa matabaka,sio mfumo Watanzania tulio wengi tunautaka

Hivi Sasa Kuna tafauti kubwa kati ya maisha ya Wanasiasa na Mtanzania wa kawaida..

Nchi inaendeshwa na Sheria,Sheria ndio zinazoongoza nchi

kama kutatokea kuwa kuna mwandishi wa habari kapindisha habari,kasema uongozi nk

basi ashitakiwe kutokana na Sheria za Nchi solution sio kuvibana vyombo vya habari

We are living in the age of Information Technology(IT), Information is the key part of development
Haya ni mawazo binafsi na wala sio uhalisia. Kuna chombo chochote au mwandishi yoyote aliyethibitisha kama wameambiwa waandike nini. Hivyo ndicho upinzani wa Tanzania kwa miaka mitano iliyopita, wamekuwa wanajenga hoja zisizo na ukweli na kuwajaza wananchi uwongo. (We reforms on politics of opposition).

Dunia yote inaendeshwa kwa sheria na kanuni, huwezi kwenda nje ya hizo sheria na kanuni ukaachiwa tu. Hata mitandao ya kijamii ambayo watu wanafikiri wako huru kuna kanuni zake, iwe twitter au YouTube hata hapa JF. Msiwadanganye wananchi eti ukiwa mwandishi wa habari, basi unakibali cha kuandika chochote kile hata nje ya mipaka yako uwandishi.
 
Andiko kutoka kwa PhD holder wa utopolo! Yamebaki kulamba makalio ya John! Kazi kweli kweli!
 
CCM chinibya Magufuki imeiba kura, imezima mitandao, imezuia wapinzani kufanya mikutano, imeua watu.

Hiyo ndiyo unaita right leadership?
Hata 2015 jamaa walileta figisu kwenye mitandao.

Nakumbuka kuna kipindi hata JF ilikuwa haipo hewani.

Hakuna jipya walichokifanya sasa ambacho hawajawahi kukifanya.

Nikiwaambia watu waache kushiriki hayo maigizo ya uchaguzi, wananiona mpumbavu, sina akili, nimeishia form 4, nabeba maboksi 🤣.

Na subiri utaona tu...2025 watashiriki tena kwenye uchaguzi mkuu chini ya mazingira haya haya ya siku zote.

Labda tofauti ya 2025 wataenda na Shangazi, Mange, au Maria Sarungi.

Tuombeane uzima tu ili muda ukifika tukumbushane....
 
Nani mwenye hamu ya kujenga taifa baada kuumizwa? Wakati walio wengi wanaugulia maumivu muliowapa unakuja na stori za kujanga taifa? Watu wako mahabusu, kuna walio tekwa, kuna waliouawa, kuna waliobambikizwa kesi...unamwambia nani akajenge taifa? Taifa ambalo walio wengi wanajiona hawana haki nalo! Mmetuumiza kiasi hiki halafu na matusi na kejeli juu! Makae mkijuwa kwamba nyinyi ni viumbe tu kama sisi. Kuna alietuzidi nguvu na ndie hakimu wa kila jambo!
 
Haya ni mawazo binafsi na wala sio uhalisia. Kuna chombo chochote au mwandishi yoyote aliyethibitisha kama wameambiwa waandike nini. Hivyo ndicho upinzani wa Tanzania kwa miaka mitano iliyopita, wamekuwa wanajenga hoja zisizo na ukweli na kuwajaza wananchi uwongo. (We reforms on politics of opposition).

Dunia yote inaendeshwa kwa sheria na kanuni, huwezi kwenda nje ya hizo sheria na kanuni ukaachiwa tu. Hata mitandao ya kijamii ambayo watu wanafikiri wako huru kuna kanuni zake, iwe twitter au YouTube hata hapa JF. Msiwadanganye wananchi eti ukiwa mwandishi wa habari, basi unakibali cha kuandika chochote kile hata nje ya mipaka yako uwandishi.
Mkuu,unaishi Dunia gani!? Hivi hujui waandishi wangapi wamepotea hawajulikani walipo?!

Unajifanya kupoteza fahamu, hutaki kukubali ukweli,.. ukweli maisha yote hushinda uongo,msema kweli ni mpenzi wa Mungu..

Jidanganye hivyo hivyo iko Siku utajua na kukubali ukweli..
 
Back
Top Bottom