cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
- Thread starter
-
- #41
Muda si mrefu naenda kwenye kijiwe cha mtaa kunywa kahawa. Pamoja na watu wengine watakuwepo aliyekuwa mwenyekiti wa mtaa wetu kutoka Chadema na aliyekuwa mwenyekiti wa mtaa jirani kutoka Chadema. Tunapoongea, hawaamini kama unavyoamini wewe. Kwa tahadhali tu, jamaa hawa wamebeba mengi vifuani. Wanasubiri Oktoba, 2020.
Hata sisi tuko fresh sana, maana ingetuuma kama tungeshiriki kisha Magufuli aagize atangazwe mshindi amtakaye. Sasa hivi tuko happy maana tunajua mnaoongoza kama chama kilichopindua serikali na sio kwa ridhaa yetu, na hao viongozi waliojipachika madarakani hawatuletei mazoea ya kishamba. Ufahamu hata kwenye nchi ambazo serikali imepinduliwa maisha huwa yanaendelea, au uliwahi kusikia nchi iliyopinduliwa wananchi wote walifariki?
Kuna uchaguzi gani mwaka huu?
CCM hii ya Magufuli iruhusu uchaguzi huru?
Hilo hakitatokea kamwe
Badala ya kuuliwa sea wewe unajiuliza nyumba na dare? Kweli watu weusi tuna shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri akina Mbowe wanaongoza mazombie!Yaani wakaumbuka na kuonewa, viongozi wao wa juu hawakuachia ngazi kabisa.
Walitakiwa wawatandike bakora kwa kuwanyima uhuru wa kugombea.
Subiri tu Oktoba,2020. Akina Mbowe watalipukiwa na bomu ambalo litawasambaratisha kabisa kisiasa!Wapewe nafasi pana tuwasikie.
Una tabia za milima ya HimalayaMimi wa kabila hapa hapa Tanzania.
Una tabia za milima ya HimalayaMimi wa kabila hapa hapa Tanzania.
Sijakuelewa
Maagizo ya nyimbo au?
Alafu Ana chura balaaaNimependa avatar yako!naamini ndivyo ulivyo au???
Uchaguzi huru na haki ni ule ambao wanainchi huchagua kiongozi wanayemtaka.Nambie uchaguzi huru hautakiwi kuwaje?
Usiharibu Kiswahili, sema WIMBO UPI au NYIMBO ZIPI.Salamu tele kwenu,
Nikiwa kama mdau wa humu ndani naomba mniambie ni muziki upi unatupeleka kwa Uchaguzi 2020, na pia mavazi yatakuwa ya khanga au vitenge.
Mimi nakumbuka sana ile muziki wa 2015 ilikuwa mtamu sana sana kuburudika. Yule mkaka anakatika sana kwa baada ya kampeni moja na kura mutu tukamchagua. Mnikumbushe basi alivaa rangi gani pia.
Smile [emoji4]
Mwananchi,
Cocochanel
Uzuri akina Mbowe wanaongoza mazombie!
Subiri tu Oktoba,2020. Akina Mbowe watalipukiwa na bomu ambalo litawasambaratisha kabisa kisiasa!
Una tabia za milima ya Himalaya
Uchaguzi huru na haki ni ule ambao wanainchi huchagua kiongozi wanayemtaka.