Uchaguzi 2020 2020 kuna dalili za wapigaji kura kwenye uchaguzi kupungua vibaya

Uchaguzi 2020 2020 kuna dalili za wapigaji kura kwenye uchaguzi kupungua vibaya

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Ni mawazo na kutafakari tu! kuna muda unaweza ukapata majibu hata mtaani au maeneo yoyote kila mtu ni mkimya. Sio kimya wa mambo mengine ni ule ukimya ambao leo uwezi kujifanya kimbelembele kuanzia waandishi wa habari, Mwananchi, Mitandao ya kijamii wa wanasiasa na siasa zao.

wimbi kubwa limekubali kuwa kama yale tunayo soma kwenye kitabu cha nchi ya kusadikika. Ni mengi sana yamefanya kwa nini watu wamekuwa wakimya.

Je, dalili ndio hizo ninazo zitafakari 2020?
 
Kwa kauli hizi za Katibu mkuu wa CCM anazotoa kuna haja gani ya kufikiria kupiga kura? Acha tuone wanataka kupeleka wapi hii nchi.
Mtu mwingine anasema hadharani kuwa nimekuteua nikakupa kila kitu kisha utangaze mpinzani? Kuna haja gani ya kufikiria kupiga kura?
 
Why participate in sham election? Everything is already predetermine. Wakati mwingine nasema bora enzi za chama kimoja watu walikuwa na haki ya kuchagua mtu wanayemtaka. Miaka ile chama ni kimoja lakini kampeni zilikuwa kabambe
 
Viongozi tulionao ni zao LA jamii yetu, tukiambiwa na waliotutangulia kustaarabika kwamba tuache ukatili twawaita mabeberu, lakini hawa viongozi walipigwa sana mashuleni, walionewa sana na wazazi, waliishi katika familia zilizofalakana, sasa wanalipiza, pamoja na kwamba wanaweza kuwa hawajui kama wanalipiza, ndivyo waafrika tulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama nimekosa kazi za kufanya ni heri nilale nyumbani kuuchapa usingizi nijenge mwili wangu kuliko kushiriki uchaguzi wa kiini macho.
Na baada ya uchaguzi ndio unakua mstari wa mbele kukosoa viongozi walio chaguliwa ! Shiriki uchaguzi upate uhalali wa kupigia kelele viongozi watakao zembea ambao hukuwachagua !!!
 
Why participate in sham election? Everything is already predetermine. Wakati mwingine nasema bora enzi za chama kimoja watu walikuwa na haki ya kuchagua mtu wanayemtaka. Miaka ile chama ni kimoja lakini kampeni zilikuwa kabambe

Anayeharibu chaguzi zetu anafahamika kwa kudhani anapendwa. Baada ya kuona hana uungwaji mkono anaoutamani anaona bora atumie madaraka yake kunajisi chaguzi zetu. Watu wote wanaojitambua hawatashiriki uchaguzi huo. Watakaojitokeza kupiga kura ni wale wanufaika wamfumo usioamini ushindani wa kweli.
 
Na baada ya uchaguzi ndio unakua mstari wa mbele kukosoa viongozi walio chaguliwa ! Shiriki uchaguzi upate uhalali wa kupigia kelele viongozi watakao zembea ambao hukuwachagua !!!

Kukosoa mtu ni lazima uwe umemchagua? Kiongozi yoyote anayelipwa kwa fedha ya umma anaweza kukosolewa kwa kutotimiza wajibu unaomfanya alipwe. Ni hivi, hakuna mtu mwenye akili timamu na nywele zake sehemu za siri, atasimama kwenye mstari kupiga kura ambazo kuna mtu mwenye madaraka anaamua nani awe kiongozi. Yule anayeridhika na mwenendo wa chaguzi zetu anaruhusiwa kwenda kupiga kura, lakini yoyote anayejua ni upuuzi ni mwiko kushiriki uhuni.
 
Kukosoa mtu ni lazima uwe umemchagua? Kiongozi yoyote anayelipwa kwa fedha ya umma anaweza kukosolewa kwa kutotimiza wajibu unaomfanya alipwe. Ni hivi, hakuna mtu mwenye akili timamu na nywele zake sehemu za siri, atasimama kwenye mstari kupiga kura ambazo kuna mtu mwenye madaraka anaamua nani awe kiongozi. Yule anayeridhika na mwenendo wa chaguzi zetu anaruhusiwa kwenda kupiga kura, lakini yoyote anayejua ni upuuzi ni mwiko kushiriki uhuni.
tindo, kwani ni lazima kweli kutukana unapo changia hoja ? Daa ! Haya bana 🙏
 
Viongozi tulionao ni zao LA jamii yetu, tukiambiwa na waliotutangulia kustaarabika kwamba tuache ukatili twawaita mabeberu, lakini hawa viongozi walipigwa sana mashuleni, walionewa sana na wazazi, waliishi katika familia zilizofalakana, sasa wanalipiza, pamoja na kwamba wanaweza kuwa hawajui kama wanalipiza, ndivyo waafrika tulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Unategemea mtu aliyetembea kilometa 15 kufuata elimu akishindia kiporo cha viazi mambo mengine kayakutia ukubwani mjini atashindwa vipi kuwa na jealous ndo tunawaona wakisumbua watu maofisini na vyuoni watungao mitihani migumu kukomoa student
 
Na baada ya uchaguzi ndio unakua mstari wa mbele kukosoa viongozi walio chaguliwa ! Shiriki uchaguzi upate uhalali wa kupigia kelele viongozi watakao zembea ambao hukuwachagua !!!
Viongozi wazuri hawatapewa nafasi ya kuchukua form au kurudisha form zao na serekali ya CCM,na hiki ndicho kinachonifanya nishindwe kushiriki uchaguzi na nitaendelea kuwalalamikia na kuwakosoa viongozi,kwa kuwa ni viongozi wasiokuwa na waledi kwa kuwa ni viongozi wa kupachikwa na kutangazwa na CCM pasipo kuchaguliwa na wapiga kura.
 
Hata tukimsimamisha mzee wa meno ya Tembo kupeperusha bendera yetu?
Please kamanda!
Mkimsimamisha huyo ndo nitashangilia kabisa kwa kuwa nitawahi kwenye maghala yake kuuza vipusa vyake niendelee kujenga mwili wangu wakati yeye yuko kuhangaika na kampeni zake za kutafuta kura.
 
Back
Top Bottom