Uchaguzi 2020 2020 kuna dalili za wapigaji kura kwenye uchaguzi kupungua vibaya

Uchaguzi 2020 2020 kuna dalili za wapigaji kura kwenye uchaguzi kupungua vibaya

Ni mawazo na kutafakari tu! kuna muda unaweza ukapata majibu hata mtaani au maeneo yoyote kila mtu ni mkimya. Sio kimya wa mambo mengine ni ule ukimya ambao leo uwezi kujifanya kimbelembele kuanzia waandishi wa habari, Mwananchi, Mitandao ya kijamii wa wanasiasa na siasa zao.

wimbi kubwa limekubali kuwa kama yale tunayo soma kwenye kitabu cha nchi ya kusadikika. Ni mengi sana yamefanya kwa nini watu wamekuwa wakimya.

Je, dalili ndio hizo ninazo zitafakari 2020?
Tena wapiga kura mkipungua ndio vizuri. Rais wa nchi kubwa kama Marekani huchaguliwa na watu wachache tu wenye uelewa. Kwani kuna shida gani kama mbumbumbu wengi hawatapiga kura ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na
Ni mawazo na kutafakari tu! kuna muda unaweza ukapata majibu hata mtaani au maeneo yoyote kila mtu ni mkimya. Sio kimya wa mambo mengine ni ule ukimya ambao leo uwezi kujifanya kimbelembele kuanzia waandishi wa habari, Mwananchi, Mitandao ya kijamii wa wanasiasa na siasa zao.

wimbi kubwa limekubali kuwa kama yale tunayo soma kwenye kitabu cha nchi ya kusadikika. Ni mengi sana yamefanya kwa nini watu wamekuwa wakimya.

Je, dalili ndio hizo ninazo zitafakari 2020?
Na mimi naomba wawe kidogo hasa wale wa UKAWA kwa ujumla wao. Lakini sisi wengine tutajitokeza kwa wingi kupiga kura.
 
Anayeharibu chaguzi zetu anafahamika kwa kudhani anapendwa. Baada ya kuona hana uungwaji mkono anaoutamani anaona bora atumie madaraka yake kunajisi chaguzi zetu. Watu wote wanaojitambua hawatashiriki uchaguzi huo. Watakaojitokeza kupiga kura ni wale wanufaika wamfumo usioamini ushindani wa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23]kwa hiyo yule mnaye mtaka hamtampigia kura .. sasa atashindaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi tulionao ni zao LA jamii yetu, tukiambiwa na waliotutangulia kustaarabika kwamba tuache ukatili twawaita mabeberu, lakini hawa viongozi walipigwa sana mashuleni, walionewa sana na wazazi, waliishi katika familia zilizofalakana, sasa wanalipiza, pamoja na kwamba wanaweza kuwa hawajui kama wanalipiza, ndivyo waafrika tulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisii hii comment iko vizuri sana kiufupi umehitimisha mjadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kwa hiyo yule mnaye mtaka hamtampigia kura .. sasa atashindaje

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwasasa viongozi hawapatikani kwa njia ya kura, bali matakwa ya rais. Mtu mjinga tu ndio anaamini kwa sasa viongozi wanapatikana kwa njia ya kura. Ni bora kutafuta njia nyingine ya kupata viongozi, lakini njia hii ya kura ni kupotezeana muda tu.
 
Nitamshangaa Mtanzania atakaye enda kupiga kura 2020 maana tayari matokeo yanajulikana, mtanzania atakaye jipanga foleni kupiga kura zitakuwa hazimtoshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mawazo na kutafakari tu! kuna muda unaweza ukapata majibu hata mtaani au maeneo yoyote kila mtu ni mkimya. Sio kimya wa mambo mengine ni ule ukimya ambao leo uwezi kujifanya kimbelembele kuanzia waandishi wa habari, Mwananchi, Mitandao ya kijamii wa wanasiasa na siasa zao.

wimbi kubwa limekubali kuwa kama yale tunayo soma kwenye kitabu cha nchi ya kusadikika. Ni mengi sana yamefanya kwa nini watu wamekuwa wakimya.

Je, dalili ndio hizo ninazo zitafakari 2020?
Mkuu fumbo unamfumbia nani?

Naona funzo alilokupa mkuu Tindo bado hutaki kulitumia, sijui kwa nini!

Weka mada tuisome na kuielewa, sasa unafumbafumba sisi tutajua nini kimo akilini mwako?
 
Nitamshangaa Mtanzania atakaye enda kupiga kura 2020 maana tayari matokeo yanajulikana, mtanzania atakaye jipanga foleni kupiga kura zitakuwa hazimtoshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii haisaidii kitu.
Maadam hapawezi kukosekana watu kadhaa waliotayari kwenda kupiga kura, hata ikilazimu kwa kupewa chochote kwa kila kura watakayopiga, kutokwenda kupiga kura hata kwa asilimia 80, bado CCM watakuwa washindi kwa asilimia 99, kama wanavyodai.

Kama unalengo la kutokwenda kupiga kura, wewe na wenzio unaokubaliana nao fanyeni kila linalowezekana hao wachache, asilimia 20 nao hawapigi kura.

Hapo lengo lenu litakuwa limetimia, maanake CCM hawawezi kujitangazia ushingi kama kura hazikupigwa, hata na hao wachache mamluki wa kulipwa.

Je, mikakati ya kuzuia uchaguzi mtaiweza?

Hesabuni maumivu kwa uchaguzi wowote utakaofanyika.
 
Sisi ccm huwa hatupungui,anaesusa atakua atakua anaturahisishia kazi tu
 
mambo yakiwa kama yale ya serikali za mitaa kura tunaenda kupiga za nini?
watawala wamekuwa wao ndio kila kitu, tume yao! mapolisi wao! usalama wao! ma-DED wao!
 
Back
Top Bottom