Uchaguzi 2020 2020 Urais: Twende na Prof. Assad

Uchaguzi 2020 2020 Urais: Twende na Prof. Assad

Asad akiingia siasa, ataokotwa kwenye fukwe day 2, mwacheni mzee wa watu.
Hawezi siasa maana yeye ni mtu wa facts. Na siasa inabidi uwe muongo. Si unaona Baba Magufuli kipindi cha Kampeni alisema Waandishi wa habari wanateseka sana. Ila baada ya kuwa madarakani aliwaambia waandishi wa habari kuwa kuna mipaka katika uandishi wao.
 
Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine

Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule

Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili

2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Khaa!! Sio Membe tena!!!!!!!!
 
Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine

Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule

Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili

2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Atagombea kwa chama gani? Assume atagombea kwa chadema hivi kwa tz yetu bado tuna imani pana chama kitaitoa ccm magogoni?? Hakuna na hakitatokea wataoitoa ccm madarakan watakuwa ccm wenyew sio labda wafarakane na kugawanyika japo sio jambo rahisi
 
Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine

Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule

Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili

2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Uzuri Àssad sio mjinga kama unavyodhani mlivyo ufipa.
 
Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine

Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule

Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili

2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Prof Assad nimekubali sana anasema kwamba hajui kwamba kuna mtu mwingine ameteuliwa na yeye hana taarifa kwasababu hajabata terminatio yeyote.
 
Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine

Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule

Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili

2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Shetani stole na yeyote.nitamuunga mkono
Kupitia nduli hatuhitaki malaika2 hata shetani ataruhusiwa
 
Duh, Ila tuwe wakweli Magufuli katuonyesha sura yake halisi kwenye vita ya ufisadi kwamba ni mwizi.
 
Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine

Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule

Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili

2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Wewe dada uishie kukuna Nazi tu kitendo cha mtu kuwa CAG hata kwa siku Moja akatoka akarudi basi hatofanya kazi yoyote serikalini
 
Miiko ya mdhibiti mkuu na mkaguzi wa hesabu za serimali akimaliza muda wake hawezi kushika nafasi yeyote ya uongozi katika jamuhuri ya muungano wa tanzania . Hayo ni mtakwa ya kikatiba
 
Back
Top Bottom