Hawezi siasa maana yeye ni mtu wa facts. Na siasa inabidi uwe muongo. Si unaona Baba Magufuli kipindi cha Kampeni alisema Waandishi wa habari wanateseka sana. Ila baada ya kuwa madarakani aliwaambia waandishi wa habari kuwa kuna mipaka katika uandishi wao.Asad akiingia siasa, ataokotwa kwenye fukwe day 2, mwacheni mzee wa watu.
Khaa!! Sio Membe tena!!!!!!!!Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine
Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule
Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili
2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Atagombea kwa chama gani? Assume atagombea kwa chadema hivi kwa tz yetu bado tuna imani pana chama kitaitoa ccm magogoni?? Hakuna na hakitatokea wataoitoa ccm madarakan watakuwa ccm wenyew sio labda wafarakane na kugawanyika japo sio jambo rahisiSasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine
Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule
Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili
2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Uzuri Àssad sio mjinga kama unavyodhani mlivyo ufipa.Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine
Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule
Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili
2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Prof Assad nimekubali sana anasema kwamba hajui kwamba kuna mtu mwingine ameteuliwa na yeye hana taarifa kwasababu hajabata terminatio yeyote.Sasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine
Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule
Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili
2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Shetani stole na yeyote.nitamuunga mkonoSasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine
Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule
Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili
2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe
Wewe dada uishie kukuna Nazi tu kitendo cha mtu kuwa CAG hata kwa siku Moja akatoka akarudi basi hatofanya kazi yoyote serikaliniSasa ni muda mwafaka kwa profesa Assad kugombea urais 2020 kwa chama chochote tofauti na kile chama kingine
Profesa kwenye kipindi chake amesimamia ukweli na kama ni uzalendo ameuonyesha hadharani kuliko bwana yule
Profesa karibu kwenye siasa,wananchi wanakupenda,wameona,wewe ndo mkombozi wa nchi hii,kila mtu ameona juhudi zako za kufichua zile trillion na kilichotokea baada ya kuunyoshea kidole ule mhimili
2020 twende na Assad,Mungu pamoja nawe