ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Dakika 15 Ethiopia Wanafanya Sub [emoji28][emoji28]
Wahabeshi wamekula umemeDakika 15 Ethiopia Wanafanya Sub [emoji28][emoji28]
Zimbabwe wamo japo uchumi wao uko hovyoUjue Hamna Nchi Yenye Amani Inayoshiriki AFCON [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tanzania Tujitafakari, Hawa Ethiopia Kila Siku Wanapigana lakini wapo AFCON, Burkina Faso Ndio Wamechoka Lakini Wapo AFCON.
Tanzania Amani Haitusaidii, Ni Lazima CCM iondoke Ili Tushiriki Michuano Kama Hii, Kwasababu CCM haiwezi Kuondoka Kwa Amani [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tunzenk Hii comment, Siku Pakichafuka Tanzania Tutashiriki Michuano Kama Hii
HahahaIla hawa ethiopis anagalau wanajielewa. Wanajua kabisa afcon hawashindi so wanaenda na kocha mzawa nae apate exprience. 👍
Nakumbuka mwaka juzi Makonda alitumwa na Jiwe aende Afcon ili Taifa Stars ishinde[emoji23][emoji23]
Kweli kabisaaBila Nyekundu Cape Verde wangepata tabu sana.
Kitu pekee tunachoweza ni siasaTz tujitafakari upya tuone tunakwama wapi, yaani hadi Commoro wanacheza AFCON sisi tu wapenzi watazamaji!
Hata siasa zenyewe hatuziwezi labda si-hasa!Kitu pekee tunachoweza ni siasa
Natamani Ethiopia hata warudishe hilo goli iwe 1-184' Ethiopia 0-1 Cape Verde
Natamani Ethiopia hata warudishe hilo goli iwe 1-1