2021 AFCON Special Thread

Huyu refa siyo wa mchongo,mpira umechezwa vizuri hamna card za hovyo na VAR

Refa kaweka mizani sawa ila nimegundua Afcon kwa Giants hawafanyi chochote ila kwa Timu ndogo wanazionea ili mashindano Yapate jina maana Wazungu walisha aanza chokochoko so Wameona Wachezaji wa Ulaya hawatoshi Bora wazipambanishe timu kubwa kubwa
 
Refa kaweka mizani sawa ila nimegundua Afcon kwa Giants hawafanyi chochote ila kwa Timu ndogo wanazionea ili mashindano Yapate jina maana Wazungu walisha aanza chokochoko so Wameona Wachezaji wa Ulaya hawatoshi Bora wazipambanishe timu kubwa kubwa
Ila pia hawa wako vizuri ,naona kila timu haitaki matuta kila mtu anataka amfunge mwenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…