Tunisia wana nuksi sana maana hata match yao ya kwanza mpira ulimalizwa dk ya 85 baadae dk ya 89.Sekunde ya 44[emoji3][emoji3]
Mwarabu chali...... kuna mwarabu mwingine lazima atoke kati ya Misri na Morocco.Dah imeniuma sana 😢 waliingia kwa dharau
Hongera bukina
Tuhamie kwa Morocco au Misri?...maana lazima mmoja atoke.Tunisia wana nuksi sana maana hata match yao ya kwanza mpira ulimalizwa dk ya 85 baadae dk ya 89.
Leo zimeongezwa 4 kamaliza dk ya 3 na sekunde 44.
[emoji28][emoji28]
Misri anafuatiaTuhamie kwa Morocco au Misri?...maana lazima mmoja atoke.
Mie Morocco aisee. Maana hawa jamaa angalau walitaka kutujengea uwanja kule Dodoma.Tuhamie kwa Morocco au Misri?...maana lazima mmoja atoke.
Sana.Bukina wameupiga mwiiiiingiii...
Sure.Kwanza Tunisia wameingia had huki kwa bahat tu...