2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Tunisia walimuotea tu Nigeria.
Kumbuka kwenye group walichezea Match 2 wakapita kama Best Loser
 
Tunisia wana nuksi sana maana hata match yao ya kwanza mpira ulimalizwa dk ya 85 baadae dk ya 89.
Leo zimeongezwa 4 kamaliza dk ya 3 na sekunde 44.
[emoji28][emoji28]
Tuhamie kwa Morocco au Misri?...maana lazima mmoja atoke.
 
Back
Top Bottom