permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Kafuatilie kwenye ligi zao, hao waarabu ni wa kawaida tu wala hawana cha maana.Na ladha ya mpira inaondoka, waarabu ndio wanatufanya wengine tufuatilie hii michuano, otherwise tungepotezea.
Nigeria? Timu zilitabiliwa ni Senegal na Algeria na kidooogo Cameroon na Egypt. Ila mm niliwapa sana nafasi Ivory Coast na Burkina FasoDuh we jamaa mi naona hauko sahihi...timu iliyokua imebalance idara zote kwa Afrika weusi ni Nigeria,,,ndo maana kila mtu alishangaa kufungwa na wachovu Tunisia.
Achana na utabiri angalia mpira uliokua unachezwa..Nigeria? Timu zilitabiliwa ni Senegal na Algeria na kidooogo Cameroon na Egypt. Ila mm niliwapa sana nafasi Ivory Coast na Burkina Faso
Kwa timu zilizobaki timu pekee inayocheza kimbinu na mpira safi ni Morocco.Nigeria? Timu zilitabiliwa ni Senegal na Algeria na kidooogo Cameroon na Egypt. Ila mm niliwapa sana nafasi Ivory Coast na Burkina Faso
World cup ya wapi ndugu? Ivory coast kundi lake liliongozwa na Cameroon kwa hiyo hatua ya mtoano hawapo, hao ni watazamaji tu kwa world cup 2022 Qatar.Nawakumbusha nilisema final ni Ivory Coast vs Burkina Faso ila hamkunielewa vizuri, nilimaanisha kati ya hawa wawili mmoja anatoka na ndoo hili. Ivory Coast ndio timu nzuri kuliko zote Afcon kwa mwaka huu ila kujiamini kwao kulipitiliza na bahati haikuwa kwao pia. Wangecheza kwa kujituma kama walivyocheza mashehe wale basi game iliisha mapema sana sio mbaya kwa kuwa wanakikosi cha dunia naamini world cup wataleta sana ushindani kama hawatapangiwa wababe wa dunia. Tabiri yangu sasa ni kama sio misri basi kombe linaenda Burkina Faso lads
Asee wajinga sana. Wana soka nililolipenda kama Ulaya vile.World cup ya wapi ndugu? Ivory coast kundi lake liliongozwa na Cameroon kwa hiyo hatua ya mtoano hawapo, hao ni watazamaji tu kwa world cup 2022 Qatar.
Yani mtu hata kama sio shabiki wa B/faso lakini ataishabikia kwa nguvu zote ili tuu waarabu watoke, bado ubaguzi upo, tena sana. Nimefuatilia wachangiaji humu ni wachache sanaa may be 10 hawafiki wanaoshabikia timu za waarabu.
Tukemee ubaguzi ndugu zanguni, tusiwape nafasi wapumbafu wasiojitambua/wanaoendekeza chuki dhidi ya hawa ndugu zetu wa NORTH
Sijawahi kuona mechi ya mwarabu na giza refa akawa mwarabu, lazima awe giza tu hata kwenye caf cl ni hivyo hivyo
Huyu referee wa mchezo huu Wa Tunisia na Burkina Faso ni ovyo kabia, alivunja mechi kabla ya dakika alizoengeza kumalizika. Na pia cha ajabu zaidi mechi ilisimama mara mbili kwa ajili VAR, dakika hazipungui saba zilipotea, na pia mechi ilisamama mara kadhaa kwa injuries. yote haya na bado akaishi kuengeza dakika nne tu nahizo pia hakuzimaliza.
Africa kuna mambo ya ovyo sana na bado yanachukuliwa powa tu.
Hivi mwenye jukumu la kuongeza dakika ni read wa kati au kamisaa wa mchezo husika?
Mpira hauchezewi chumbani broo au sio karata zile kwamba utaficha kila kitu hadharani, lini giza alifanya usaliti?Ila kuna wakati mwingine hawa akina Vivuli huwa wanawasaliti wenzao na kuwa upande wa Waarabu
Ile Fainali walipoteza kwa Nigeria 2013 kama sikoseiHakuna cha dharau, wamepigwa kihalali. Kuanzia dakika ya kwanza mchezo kwa upande wao ulikuwa mgumu. Burkinafaso siyo wanyonge, miaka siyo mingi walifika fainali ila wakapoteza kwa Egypt.
Kwa mikakati naamini. Jana nimeangalia ile match kwa umakini sana. Gambia mpaka dk 40 wachezaji watatu walikuwa wamekula Yellow kosa mojawapo ni kipa kupoteza muda. Just imagine goalie anapoteza muda dk ya 30 na kadi nyingine very soft.Mi naona kombe linabaki Cameroon kuna mikakati naiona imesukwa.
Ivory Coast unawapa nafasi kwa AFCON ya 2025?Nigeria? Timu zilitabiliwa ni Senegal na Algeria na kidooogo Cameroon na Egypt. Ila mm niliwapa sana nafasi Ivory Coast na Burkina Faso