2021 AFCON Special Thread

North Africans mara nyingi wanajiona sio Africans..., Hizo timu huwa nazishabikia World Cup tu ila sio African Nations; Na historically waarabu walikuwa na gamemanships sana; Huu Upuuzi wanaofanya Cameroon sasa Waarabu ndio ilikuwa tabia zao...

Sasa kama wao wanajiona co afrikans ingawa hakuna ukweli ukisemacho ila umeckia kama co kwenye kahawa hukoo namashaka 🤣 wao co waafrika sasa mzee unataka wajiite waafrika, akili za wapi hizo mzee!!!! Kama co chuki ni nini mzee 🤣 haya endelea kukariri tu, wakati wenze2 wanaendelea kutwaa vikombe na ligi zao kuwa bora wewe endelea na makasiriko.
 
Paul Scholes alikuwa anapiga pasi za mita 60 mpaka 70 na pasi inamfikia mtu mguuni🙌🏻
 
Mpaka sasa nawapa nafasi kubwa Senegal ya kutwaa ndoo akifuatiwa na mwenyeji Cameroon kisha Egypt
 
Sasa kama wao wanajiona co afrikans ingawa hakuna ukweli ukisemacho ila umeckia kama co kwenye kahawa hukoo namashaka 🤣
Ungekuwa unafuatilia world affairs nchi za North Africa zinapenda kuji-identify kama middle East rather than Africa
wao co waafrika sasa mzee unataka wajiite waafrika,
Kwahio sio Africans ?, Egypt ni Africa kutokana kwamba wanatoka bara la Africa sasa hapa sielewi unataka kusema nini ila ukweli ni kwamba the identify themselves as middle eastern (most anyway)
akili za wapi hizo mzee!!!! Kama co chuki ni nini mzee 🤣
Sasa chuki imetoka wapi nimesema kwenye world stage ninaji-identify zaidi na Egypt ila African Nations kwanza nashabikia East and Central alafu Western kabla ya Northern hapo tatizo lipo wapi naona unakuwa emotional kuhusu gamemanship labda kama umeanza kufuatilia mpira juzi ila timu za Arabuni ulikuwa ukienda kwao figisu ni mwanzo mwisho that is well known
haya endelea kukariri tu, wakati wenze2 wanaendelea kutwaa vikombe na ligi zao kuwa bora wewe endelea na makasiriko.
Ukweli ni kwamba soka la Arabuni limeshuka sio kama hapo awali na world stage Northern African Teams hazijawahi kupeform zaidi ya western team (that's a fact) huenda ni aina ya mchezo wao wakikutana na timu za ulaya huwa hawana majibu....
 
Hivi Ivory Coast bado ipo? Maana hata sijafuatilia michuano duu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…