Hakuna cha figisu, wenzetu wametuzidi maarifa bwana, haya ya figisu yanatokea kwenye vijiwe vya kahawa, kwa mtu anaejuwa mpira hawezi kuwa na fikra za kipumbavu kama hizo eti fitina/figisu 🤣. Ukweli ni kwamba, bado kuna vimelea vya kibaguzi,,,, labda nikuorodheshee comments za kishenzi kutoka kwa wacojielewa na kujitambuwa 🤣
Angalia hapa,
View attachment 2101863View attachment 2101864View attachment 2101865View attachment 2101866View attachment 2101867View attachment 2101868View attachment 2101869View attachment 2101870View attachment 2101871View attachment 2101872View attachment 2101873View attachment 2101874View attachment 2101875
UBAGUZI UNAWATESA SANA WATU WEUSI, ni wabaguzi wakupindukia aisee