Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Jamaa ni noma hana mambo mengi kabisa.Blati Toure, what a holding midfield kama mimi yaani mwili mdogoooo ila tunakupa kile usichotaarajia kutoka miguuni.
kwanza nashangaa kwanini VAR ilikua inaangalia penalty badala ya red card kwa KouyateKabisa
Penati ipi,acha midadiPumbavu mtu kapiga mpira kabisa penat ya nini?
Leo wanatinga fainal na kisha watachukua kombeHawa Burkinabe sio wa kubeza
Lolote linaweza kutokea mkuuLeo wanatinga fainal na kisha watachukua kombe
Link ya kustream ?Lolote linaweza kutokea mkuu
HesgoalLink ya kustream ?
Vip Kafanya save za maana?Mendy Africa One