Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Kawaida yetu mshindu wa tatu ni sisi.24' Tayari wanangu wa Burinabe wanaongoza
Nakubali mkuu, leo kwa mara ya kwanza tupo wote chama mojaKawaida yetu mshindu wa tatu ni sisi.
Imekuwaje umewakataa Cameroon?Nakubali mkuu, leo kwa mara ya kwanza tupo wote chama moja
Wamezingua nusu fainali, ngoja niwe upande wa Burkinabe maana kuna jitihada kubwa wameioneshaImekuwaje umewakataa Cameroon?
sawaWamezingua nusu fainali, ngoja niwe upande wa Burkinabe maana kuna jitihada kubwa wameionesha
Wanastahili ushindi wa tatuchuma cha pili kudadeki
🔥🔥Burkinabe wanamuuua mwenyeji kimasiharaCha pili cha nguvu
Hatari, hata ivo walibebwa sana had kufika hapa🔥🔥Burkinabe wanamuuua mwenyeji kimasihara