Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #3,361
Nawaonea hurumaWashapigwa mpaka hapo. Psychologically lazima wamekata tamaa
Extra time nadhani kama utaratibu ulivyoHivi kuna 30 za nyongeza au matuta direct
Hawa wanapigwa ndani ya extra time mkuuBurkina wamezingua jamani kha goli tatu zinarudi zote....hawa penalty wanashindwa
Burkina faso yaani ni wabovu kwa mipira ya konaHii ni game ya kwanza katika mashindano haya kushuhudia goli 6 ndani ya dakika 90
Hapa penalty moja kwa moja mzeeyaHawa wanapigwa ndani ya extra time mkuu
Yah mkuu lakini pia hakuna mawasiliano kati ya mabeki na kipa waoBurkina faso yaani ni wabovu kwa mipira ya kona
Aboubakar alivyo na moto anaweza akawaua ndani ya 120 mkuuHapa penalty moja kwa moja mzeeya
Duh.Extra time nadhani kama utaratibu ulivyo
Sio mchezo mzee hata Egypt alipiga hivyoDuh.
Cameroon game 2 mfululizo wanapiga 120'
Mipira ya juu yote wamefungwa leo. Kona mbili plus hilo la 3Burkina faso yaani ni wabovu kwa mipira ya kona
Hata Egypt game mbili mfululizo wamepiga 120' mfululizoDuh.
Cameroon game 2 mfululizo wanapiga 120'
Matuta bana. Nilihisi hivyo kwakuwa ni mshindi wa 3.Sio mchezo mzee hata Egypt alipiga hivyo
Matuta mkuuHivi kuna 30 za nyongeza au matuta direct